Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,452
- 2,220
We jamaa hisibati ulipata ngap? MBNA muongo hvKuna baadhi ya vitu havifanyiwi hesabu kwa kutumia namba kamili, ndio maana kukawa na somo la MAKADIRIO!..
Mojawapo ni hilo, toka Ijumaa mpaka Jumapili ni siku tatu kikawaida. Sawa na birthday yako (ukizaliwa leo tarehe 16 saa 4 Usiku ina maana utakuwa unaiadhimisha ikifika tarehe 16 saa 4 usiku?)