Uchaguzi 2020 Utata wa muungano wa kisiasa (coalition) wa CHADEMA na ACT-Wazalendo katika macho ya Sheria

Jiwe alihisi tangu 2018, akaanza kutunga sheria za kubana upinzani alichosahau ni kwamba Elimu bahari huwezi kujua yote,
Alisahau hiki Ni kizazi cha global vision na sio kile Cha miaka ya 70.
Hawezi zima internet atakosa makusanyo na shughuli hazitoenda, mabeberu ni wajanja Sana wako mbele miaka 300 cheki wamewaletea madikteta mifumo ya e government kila kitu Hadi malipo kwenye system wakizima tu internet ili kubinya upinzani kila kitu usimama nao wanaogopa kusimama kwa mambo so hawana budi tu kukubali internet ifanye Kazi.
 
Kama vyama vinavoshirikiana vimesajiliwa na vina uhalali wa kufanya ushirika kutokana na imani na itikadi zao - ni jambo la kheri!! Wakati wengine huunda umoja hata baada ya uchaguzi, sisi tunataka malengo ya umoja yaamuliwe na mmoja wa wanaonufaika na utengano!

Ni ajabu tuna methali “kidole kimoja akivunji chawa”, “umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu” lakini bado sheria zetu ni zile zinazosimamia utengano zaidi ya umoja.
 
Sisi na vyama vyote tusimfuate Msajili ambaye amepitiliza katika uoga wake wa nguvu ya CHADEMA na ACT. Jambo liko wazi. Sheria ilitungwa ili iratibu Muungano wa vyama, siyo kuzuia bali kuratibu. Muungano ni kitu kikubwa kwa sababu ama uhai wote au sehemu ya uhai wa mwanzo wa vyama vinavyoungana huondolewa, na uhai mpya hutengenezwa. Huo unahitaji kuelezewa haki na wajibu wake. Ndiyo sababu unahitaji sheria (regulation). Ushirikiano ni jambo tofauti, rahisi na la kila siku.

Halitengenezi uhai mpya au kuondoa wa zamani kwa namna yoyote. Hufanyika muda wote kwa hiari na namna mbalimbali. Hauhitaji makubaliano ya kimaandishi. Hauzuiliki wala kushitakika. Kuutungia sheria ni kichekesho. Wote tumekuwa tukijua kuwa, kwa vile vyama HAVIKUUNGANA katika muda wa kisheria, VITASHIRIKIANA tu vikipenda.

Ndivyo wanavyofanya. TLP na CCM walikuwa sahihi na Msajili alijua hivyo, ndiyo sababu alinyamaza. Ni ushabiki na uoga wake tu ndio uliomfanya kujaribu kukataza jambo hili - pale vyama asivyovitaka navyo vilipoonyesha ushirikiano. Tuendelee. Ushirikiano hoyee!
Ni kama unaeleweka vile!
Jana nilimsikia mgombea ubunge wa CCM Mafinga akisema; "Nawaomba CHADEMA muiunge mkono CCM kwenye uchaguzi huu ili tumalizie kazi tuliyoianza 2015". Kumbe kuungana mkono siyo kosa?
 
Ni kama unaeleweka vile!
Jana nilimsikia mgombea ubunge wa CCM Mafinga akisema; "Nawaomba CHADEMA muiunge mkono CCM kwenye uchaguzi huu ili tumalizie kazi tuliyoianza 2015". Kumbe kuungana mkono siyo kosa?


Kuungana mkono sio kosa hata kidogo.
 
Kuungana mkono sio kosa hata kidogo.
tapatalk_1600950492546.jpeg
IMG_20200923_104120.jpeg
IMG_20200926_110341_114.jpeg
IMG_20200926_110221_172.jpeg

Mkuu, kosa ni kuunganisha nguvu kumwangusha CCM!
 
Kwahiyo Muungano wa CCM na TLP, ama Mrema kumuunga mkono Magufuli ni sahihi?

Hizi ni sheria kandamizi za awamu ya tano. Kama sheria ya Takwimu. Sheria ya habari nk.

Jiwe out.

Siyo sahihi na kisheria hakuna muungano (coalition) hapo...

Vivyo hivyo wa CHADEMA na ACT WAZALENDO, kisheria siyo sahihi na kiukweli ni kama hau - exist kisheria...

Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu yetu hapa (mleta) ni kuwa, ili muungano ukubalike kisheria, ni lazima ufuate utaratibu za kisheria kuanzishwa kwake na kisha usajiliwe na mamlaka inayohusika kisheria...

Cha kushangaza ni hawa NEC na Ragistrar of Political Parties kuanza kushughulikia kitu ambacho hakipo kisheria....!
 
Siyo sahihi na kisheria hakuna muungano (coalition) hapo...

Vivyo hivyo wa CHADEMA na ACT WAZALENDO, kisheria siyo sahihi na kiukweli ni kama hau - exist kisheria...

Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu yetu hapa (mleta) ni kuwa, ili muungano ukubalike kisheria, ni lazima ufuate utaratibu za kisheria kuanzishwa kwake na kisha usajiliwe na mamlaka inayohusika kisheria...

Cha kushangaza ni hawa NEC na Ragistrar of Political Parties kuanza kushughulikia kitu ambacho hakipo kisheria....!

Bila kusajiri Coalition Agreement kwa Msajili wa Vyama vya Siasa hakuna Muungano halali kisheria.
 
msajili asilete za kuleta hapa... wakati Magufuli anamteua Mgwira kuwa RC (cheo cha kisiasa) wa Kilimanjaro alikuwa hajui kuwa huyu mama ni mwenyekiti wa ACT?

Kwahiyo, unataka kusema kuwa huu ni muungano wa kisiasa?
 
..Msajili na NEC wanapaswa kukaa kimya na kuwapuuza CDM na ACT mpaka pale watakapotaka kuhalalisha jambo lao kisheria.

Chadema na ACT-Wazalendo sio wajinga, watagoma kuhalalisha jambo lao kisheria ndo maana Msajili anawawai kwa kuwa pre-empt.
 
Tumchague mtanzania mwenzetu Safari hii ambae Ni msomi mwenye vision civilized educated
 
Back
Top Bottom