Alisahau hiki Ni kizazi cha global vision na sio kile Cha miaka ya 70.Jiwe alihisi tangu 2018, akaanza kutunga sheria za kubana upinzani alichosahau ni kwamba Elimu bahari huwezi kujua yote,
Hawezi zima internet atakosa makusanyo na shughuli hazitoenda, mabeberu ni wajanja Sana wako mbele miaka 300 cheki wamewaletea madikteta mifumo ya e government kila kitu Hadi malipo kwenye system wakizima tu internet ili kubinya upinzani kila kitu usimama nao wanaogopa kusimama kwa mambo so hawana budi tu kukubali internet ifanye Kazi.