Utata wa lugha ya Kiswahili

Xav Emmanuel

JF-Expert Member
Jul 12, 2018
214
315
Tumia Kiswahili kuonesha utata wa Lugha.

- Ni kwa vipi Lugha imekuwa gumzo kutokana na baadhi ya maneno kuingiliana, kufanana au kukosekana.

- Au ni vipi watumiaji wa lugha walivyo kuwa na uelewa tofauti juu ya maana nyingi na zisizo kusudiwa za lugha, karibu.

Mfano: Maneno kama "Nimegongwa" usipotoa ufafanuzi unaweza kuangukia kwenye ngono zembe.

Karibuni.

Starxav
 
Back
Top Bottom