Yales
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 517
- 527
Ivi mmasai anaondoka DG alikuwa ni kombe eh?Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.
Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.