Daily News said:The Deputy Minister for Home Affairs said all WAZAZI secondary schools, including Shauritanga, would be possessed by the government. On the number of deaths at the school, Ambassador Kagasheki said a total of 40 people, including 37 students, four of them died in hospital later and two unidentified people were buried.
He said since then, nobody had ever reported that a relative or a student from the school was still missing after the inferno 15 years ago. He advised that anyone wishing to see the Scotland Yard report regarding the Shauritanga inferno was free to contact the Ministry of Home Affairs. He said police regulations do not allow such reports to be made public.
wana jamiiforums,
..naibu waziri wa mambo ya ndani anadai kulikuwa na marehemu wawili ambao hawajatambuliwa.
..pia anadai hakuna mwananchi/mzazi aliyedai kupotelewa na ndugu/mtoto.
..nashangaa kwanini serikali imeshindwa kuwatambua hao marehemu wawili. kwa mfano kwanini hakuna taarifa za jinsia wala umri wa marehemu hao ambao hawajatambuliwa.
..pia naamini kabisa Scotland Yard wana uwezo wa kutumia Teknolojia kuweza kupata mfano wa sura za hao marehemu ambao hawajatambuliwa.
..Teknolojia ya Computer ndiyo iliyotumiwa na Milwaukee School of Engineering kuweza kutambua maiti ya msichana wa kitanzania aliyeuawa na mjomba wake.
..pia nashindwa kuelewa kwanini serikali inaficha ripoti na matokeo ya uchunguzi wa janga[vifo vya watoto 40] kubwa kama hili.
NB:
..wananchi wa Shauritanga na wilaya ya Rombo wanastahili pole zetu za dhati.
..pia lazima niwapongeze kwamba pamoja na janga hilo bado wameendeleza juhudi zao ktk elimu kwa kuwa shule 2 za sekondari kila kata.