Hujajibu swali dogo tu.Ni wewe ndiye uliyeshindwa kufahamu kuwa Mungu anauwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini kwa akili yako vipi utayajua mazuri ikiwa huyajui mabaya?
Sasa kwa taarifa yako hapa duniani ni sehemu ya kuyajua mazuri na mabaya ili upate kujichagulia makazi yako ya milele ni yapi, ukitaka ulimwengu wa yasiyokuwa mabaya utaupata (pepo) au ukijichagulia ulimwengu wenye mabaya utaupata (moto) hivyo usije ukajilaumu.
Ukitaka kulithamini jema lazima baya likufike.
Huwezi kuithamini afya ikiwa haujaugua.
Kwanza kabisa, hujaelezea uwepo wangu unathibitisha hayo unayosema kivipi. Huo ni uzembe wa akili.Uwepo wako tu unathibitisha kuwa kuna mahali ulikotoka na yupo aliyekutengeneza.
Hebu fafanua mabaya na mazuri ni yapi kwa ufahamu wako?Hujajibu swali dogo tu.
Mungu wako alishindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?
Vifo vinavyotenganisha wapendanao ni kitu kibaya.Hebu fafanua mabaya na mazuri ni yapi kwa ufahamu wako?
Watoto kuzaliwa na ulemavu ni kitu kibaya pia.Vifo vinavyotenganisha wapendanao ni kitu kibaya.
Magonjwa ni kitu kibaya.
Uonevu ni kitu kibaya.
Majanga ya asili kama matetemeko ya ardhi ni kitu kibaya.
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna na hauwezikuwa na mabaya yote haya?
Sasa Mungu gani anaupendeleo, watu wengine wanazaliwa na ulemavu, wengine wanapeta?Watoto kuzaliwa na ulemavu ni kitu kibaya pia.
Mungu ana ubinadamu maana binadamu siye mkamilifu anaweza akawa na upendeleo, lakini mungu wanaye dai mkamilifu hawezi kuwa hvyo kwa kuwa hayupo.Sasa Mungu gani anaupendeleo, watu wengine wanazaliwa na ulemavu, wengine wanapeta?
Wakatiangeweza kufanya hakuna anayezaliwa na ulemavu.
Hayo yote uliyoyataja ni matokeo ya kazi za wanadamu isipokuwa kifo na hata sababu ya kufa ni inatokana na sisi wenyewe, ulimwengu ulipoumbwa ulikuwa ni sehemu nzuri ya kuishi, binadamu wa kale walikuwa wakiishi kwa muda mrefu na afya zao zilikuwa ni imara, tatizo sisi tunaojiita GT ndiyo tuliyoharibu mazingira yetu kwa mikono yetu, kwanza utumiaji mbaya wa moto umeweza kuathiri uchafuzi wa mazingira, kwa kuwa tunapounguza baadhi ya vitu hatujui vinatengeneza sumu ya aina gani ambayo inatuathiri kiafya, na binadamu amefanya mambo mengi ambayo mengine yametusaidia na mengine yanatuangamiza, bila shaka tunafahamu jinsi gani viwanda vinachangia katika kuharibu mazingira, sumu zinazomwagwa baharini, madawa yanayotumiwa katika vyakula, ajali za barabarani au angani au majini, hivi vyote ni kazi za binadamu leo tunamsingizia Mungu kwanini?Vifo vinavyotenganisha wapendanao ni kitu kibaya.
Magonjwa ni kitu kibaya.
Uonevu ni kitu kibaya.
Majanga ya asili kama matetemeko ya ardhi ni kitu kibaya.
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna na hauwezikuwa na mabaya yote haya?
yesuHamna mtoto anayezaliwa anaweza kuongea hilo jambo halijawahi tokea
Mungu akulipe kheri nyingi zaidi. Jumaa kariim.Hayo yote uliyoyataja ni matokeo ya kazi za wanadamu isipokuwa kifo na hata sababu ya kufa ni inatokana na sisi wenyewe, ulimwengu ulipoumbwa ulikuwa ni sehemu nzuri ya kuishi, binadamu wa kale walikuwa wakiishi kwa muda mrefu na afya zao zilikuwa ni imara, tatizo sisi tunaojiita GT ndiyo tuliyoharibu mazingira yetu kwa mikono yetu, kwanza utumiaji mbaya wa moto umeweza kuathiri uchafuzi wa mazingira, kwa kuwa tunapounguza baadhi ya vitu hatujui vinatengeneza sumu ya aina gani ambayo inatuathiri kiafya, na binadamu amefanya mambo mengi ambayo mengine yametusaidia na mengine yanatuangamiza, bila shaka tunafahamu jinsi gani viwanda vinachangia katika kuharibu mazingira, sumu zinazomwagwa baharini, madawa yanayotumiwa katika vyakula, ajali za barabarani au angani au majini, hivi vyote ni kazi za binadamu leo tunamsingizia Mungu kwanini?
Matetemeko ya ardhi yanatokea kwa sababu maalum, wataalamu wanasema tetemeko la ardhi alinatokea kwa sababu kuna tabaka la miamba chini ya ardhi inavunjika katika kingo zake zenye hitilafu, hivi jinsi tunavyopigana mabomu au kuchimba mafuta na gesi, uchimbaji wa dhahabu, hivi kweli hizo tabaka zitakuwa salama? Tusiwe great thinkers lakini bado tu hatujaona sisi wanadamu ndiyo wenye kusababisha matatizo yote haya halafu tunasema Mungu kashindwa kuumba ulimwengu bila ya mabaya?
Dunia ni sehemu ya mtihani kwa wanadamu ndiyo maana tunazaliwa na kufa, ukifaulu hapa duniani basi maisha ya baadaye ndiyo utakayofaidi na kama ukifeli basi hayo maisha ya milele utakuwa mwenye hasara.
Hebu kaa chini halafu jiulize kwanini mimi nimeumbwa? Na kwanini mimi ni binadamu na si mbu au inzi au mende? Hii akili ninayoitumia kufikiri ni uhodari wangu au nilizaliwa nikiwa najua kila kitu na nitajua kila kitu mpaka naaga dunia?
Naomba tutafute maarifa yenye manufaa, tujadili jinsi gani tutaweza kuleta amani kwenye nafsi zetu na kwenye majumba yetu hatimaye imani hiyo ijae ulimwenguni kote. Upendo wa kweli ni ule upendo wa kumpenda mwenzako jinsi unavyojipenda wewe, na kwa kuwa kila kitu kina mwanzo na mwisho basi na mapenzi yana mwanzo na mwisho, na ubora wa mwisho ni mwisho mwema.
Najua ndugu yangu Kiranga umefikia kufikiri fikra hizo kwa sababu, na hizo sababu ni wewe mwenyewe ndiye mwenye kuzijua, kwa kuwa sisi binadamu ni dhaifu na tunapitia changamoto mbalimbali katika maisha, sasa changamoto hizo zisikufanye utoke nje ya mstari wa kwamba wewe umeumbwa na kuna aliyekuumba, utakuwa hujajitendea haki, usione sasa hivi unaweza kuandika hayo unayoyataka lakini ukiondokewa na neema ya kuona (Mungu akuepushiye mbali) basi ni mtihani mkubwa huo sijui itakuwaje?
Aameen, kwa sote.Mungu akulipe kheri nyingi zaidi. Jumaa kariim.
Imani yangu juu yako, Mungu amekujaalia hekma sana. Kwa baraka za Mungu juu ya hekma alizokupa amfanye Kiranga ni mwenye kuelewa ulichokiandika kuhusu uwepo wa Mungu.Aameen, kwa sote.
Hayo yote uliyoyataja ni matokeo ya kazi za wanadamu isipokuwa kifo na hata sababu ya kufa ni inatokana na sisi wenyewe, ulimwengu ulipoumbwa ulikuwa ni sehemu nzuri ya kuishi, binadamu wa kale walikuwa wakiishi kwa muda mrefu na afya zao zilikuwa ni imara, tatizo sisi tunaojiita GT ndiyo tuliyoharibu mazingira yetu kwa mikono yetu, kwanza utumiaji mbaya wa moto umeweza kuathiri uchafuzi wa mazingira, kwa kuwa tunapounguza baadhi ya vitu hatujui vinatengeneza sumu ya aina gani ambayo inatuathiri kiafya, na binadamu amefanya mambo mengi ambayo mengine yametusaidia na mengine yanatuangamiza, bila shaka tunafahamu jinsi gani viwanda vinachangia katika kuharibu mazingira, sumu zinazomwagwa baharini, madawa yanayotumiwa katika vyakula, ajali za barabarani au angani au majini, hivi vyote ni kazi za binadamu leo tunamsingizia Mungu kwanini?
Matetemeko ya ardhi yanatokea kwa sababu maalum, wataalamu wanasema tetemeko la ardhi alinatokea kwa sababu kuna tabaka la miamba chini ya ardhi inavunjika katika kingo zake zenye hitilafu, hivi jinsi tunavyopigana mabomu au kuchimba mafuta na gesi, uchimbaji wa dhahabu, hivi kweli hizo tabaka zitakuwa salama? Tusiwe great thinkers lakini bado tu hatujaona sisi wanadamu ndiyo wenye kusababisha matatizo yote haya halafu tunasema Mungu kashindwa kuumba ulimwengu bila ya mabaya?
Dunia ni sehemu ya mtihani kwa wanadamu ndiyo maana tunazaliwa na kufa, ukifaulu hapa duniani basi maisha ya baadaye ndiyo utakayofaidi na kama ukifeli basi hayo maisha ya milele utakuwa mwenye hasara.
Hebu kaa chini halafu jiulize kwanini mimi nimeumbwa? Na kwanini mimi ni binadamu na si mbu au inzi au mende? Hii akili ninayoitumia kufikiri ni uhodari wangu au nilizaliwa nikiwa najua kila kitu na nitajua kila kitu mpaka naaga dunia?
Naomba tutafute maarifa yenye manufaa, tujadili jinsi gani tutaweza kuleta amani kwenye nafsi zetu na kwenye majumba yetu hatimaye imani hiyo ijae ulimwenguni kote. Upendo wa kweli ni ule upendo wa kumpenda mwenzako jinsi unavyojipenda wewe, na kwa kuwa kila kitu kina mwanzo na mwisho basi na mapenzi yana mwanzo na mwisho, na ubora wa mwisho ni mwisho mwema.
Najua ndugu yangu Kiranga umefikia kufikiri fikra hizo kwa sababu, na hizo sababu ni wewe mwenyewe ndiye mwenye kuzijua, kwa kuwa sisi binadamu ni dhaifu na tunapitia changamoto mbalimbali katika maisha, sasa changamoto hizo zisikufanye utoke nje ya mstari wa kwamba wewe umeumbwa na kuna aliyekuumba, utakuwa hujajitendea haki, usione sasa hivi unaweza kuandika hayo unayoyataka lakini ukiondokewa na neema ya kuona (Mungu akuepushiye mbali) basi ni mtihani mkubwa huo sijui itakuwaje?
Hapo ndipoutakapoona huyu Mungu hayupo, katungwa na watu tu.Mungu ana ubinadamu maana binadamu siye mkamilifu anaweza akawa na upendeleo, lakini mungu wanaye dai mkamilifu hawezi kuwa hvyo kwa kuwa hayupo.
Unapoanza kwa kusema hayo yote ni matokeo ya kaziza mwanadamu, maana yake unakubalikwamba Mungu hakuwezakuumba ulimwengu ambao hayo yote si matokeoya kazi zamwanadamu na hayapo?Hayo yote uliyoyataja ni matokeo ya kazi za wanadamu isipokuwa kifo na hata sababu ya kufa ni inatokana na sisi wenyewe, ulimwengu ulipoumbwa ulikuwa ni sehemu nzuri ya kuishi, binadamu wa kale walikuwa wakiishi kwa muda mrefu na afya zao zilikuwa ni imara, tatizo sisi tunaojiita GT ndiyo tuliyoharibu mazingira yetu kwa mikono yetu, kwanza utumiaji mbaya wa moto umeweza kuathiri uchafuzi wa mazingira, kwa kuwa tunapounguza baadhi ya vitu hatujui vinatengeneza sumu ya aina gani ambayo inatuathiri kiafya, na binadamu amefanya mambo mengi ambayo mengine yametusaidia na mengine yanatuangamiza, bila shaka tunafahamu jinsi gani viwanda vinachangia katika kuharibu mazingira, sumu zinazomwagwa baharini, madawa yanayotumiwa katika vyakula, ajali za barabarani au angani au majini, hivi vyote ni kazi za binadamu leo tunamsingizia Mungu kwanini?
Matetemeko ya ardhi yanatokea kwa sababu maalum, wataalamu wanasema tetemeko la ardhi alinatokea kwa sababu kuna tabaka la miamba chini ya ardhi inavunjika katika kingo zake zenye hitilafu, hivi jinsi tunavyopigana mabomu au kuchimba mafuta na gesi, uchimbaji wa dhahabu, hivi kweli hizo tabaka zitakuwa salama? Tusiwe great thinkers lakini bado tu hatujaona sisi wanadamu ndiyo wenye kusababisha matatizo yote haya halafu tunasema Mungu kashindwa kuumba ulimwengu bila ya mabaya?
Dunia ni sehemu ya mtihani kwa wanadamu ndiyo maana tunazaliwa na kufa, ukifaulu hapa duniani basi maisha ya baadaye ndiyo utakayofaidi na kama ukifeli basi hayo maisha ya milele utakuwa mwenye hasara.
Hebu kaa chini halafu jiulize kwanini mimi nimeumbwa? Na kwanini mimi ni binadamu na si mbu au inzi au mende? Hii akili ninayoitumia kufikiri ni uhodari wangu au nilizaliwa nikiwa najua kila kitu na nitajua kila kitu mpaka naaga dunia?
Naomba tutafute maarifa yenye manufaa, tujadili jinsi gani tutaweza kuleta amani kwenye nafsi zetu na kwenye majumba yetu hatimaye imani hiyo ijae ulimwenguni kote. Upendo wa kweli ni ule upendo wa kumpenda mwenzako jinsi unavyojipenda wewe, na kwa kuwa kila kitu kina mwanzo na mwisho basi na mapenzi yana mwanzo na mwisho, na ubora wa mwisho ni mwisho mwema.
Najua ndugu yangu Kiranga umefikia kufikiri fikra hizo kwa sababu, na hizo sababu ni wewe mwenyewe ndiye mwenye kuzijua, kwa kuwa sisi binadamu ni dhaifu na tunapitia changamoto mbalimbali katika maisha, sasa changamoto hizo zisikufanye utoke nje ya mstari wa kwamba wewe umeumbwa na kuna aliyekuumba, utakuwa hujajitendea haki, usione sasa hivi unaweza kuandika hayo unayoyataka lakini ukiondokewa na neema ya kuona (Mungu akuepushiye mbali) basi ni mtihani mkubwa huo sijui itakuwaje?
Mungu hajatumia nidhamu uitakayo katika hii dunia, ni kama kusem kwanini kampuni ya kutengeneza meli haijaitengeneza meli iruke kama ndege. Sisi wanadamu tumepewa chaguo au hiari katika mambo yetu ndiyo maana wewe umechagua kutoamini uwepo wa Mungu wakati sisi wengine tumechuagua kuamini uwepo wa Mungu. Sasa tupo katika kushindana kwa hoja mpaka pale tutakapopata yakini ya uhalisia wenyewe.Unapoanza kwa kusema hayo yote ni matokeo ya kaziza mwanadamu, maana yake unakubalikwamba Mungu hakuwezakuumba ulimwengu ambao hayo yote si matokeoya kazi zamwanadamu na hayapo?
Kwa mfano, ukisema mabaya ni matokeo ya uasi wa mwanadamu, au dhambi za mwanadamu, hujajibu swali la msingi, Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao mwanadamu hawezi kutenda dhambi wala uasi?
Kampuni ya kutengeneza meli ina uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?Mungu hajatumia nidhamu uitakayo katika hii dunia, ni kama kusem kwanini kampuni ya kutengeneza meli haijaitengeneza meli iruke kama ndege. Sisi wanadamu tumepewa chaguo au hiari katika mambo yetu ndiyo maana wewe umechagua kutoamini uwepo wa Mungu wakati sisi wengine tumechuagua kuamini uwepo wa Mungu. Sasa tupo katika kushindana kwa hoja mpaka pale tutakapopata yakini ya uhalisia wenyewe.