UTATA: Nani alimuua Rais wa Congo, Laurent Kabila?

aljazeera kabla hawajaanza kazi ya kuosha mbwa, documentary zao zilitumia akili kubwa sana!!
baada tu ya Arab spring niliacha kuwatumia kama primary source ya habari. walikua wanamponda sana Gaddafi mpaka unajiuliza hawa ni aljazeera ama cnn,, syria kule wamebaki tu ku fabricate footage za aftermath za mashambulio ya sumu pum..bavu wale
Aljazeera ni cnn iliyokaa kiarabu
 
Huwa inasikika kua Kabila mtoto siyo mtoto wa Laurent,mwenye taarifa zilizoshiba atujuze kiundani tafadhari.
 
Huwa inasikika kua Kabila mtoto siyo mtoto wa Laurent,mwenye taarifa zilizoshiba atujuze kiundani tafadhari.
Hippolyte Kanambe Kazemberembe alias "Joseph Kabila" baba yake halisi ni christopher kanabe raia wa rwanda na aliyekuwa muasi akipigana dhidi ya serikali ya aliyekuwa raisi wa rwanda habyaramana.
Walikutana na Laurent kabila msituni wakaungana kusaidiana kupigana na maadui zao mobutu na habyaramana so wakawa marafiki wakubwa.
Kuna taarifa kuwa Laurent Kabila ndiye alihusika na mauaji ya Christopher.
Ila baada ya kifo cha christopher Laurent kabila alimuoa mjane yani aliyekuwa mke wa rafiki yake hivyo akamchukua na mtoto wake hippolyte kanabe akambadili jina na kumuita joseph kabila.
 
Hippolyte Kanambe Kazemberembe alias "Joseph Kabila" baba yake halisi ni christopher kanabe raia wa rwanda na aliyekuwa muasi akipigana dhidi ya serikali ya aliyekuwa raisi wa rwanda habyaramana.
Walikutana na Laurent kabila msituni wakaungana kusaidiana kupigana na maadui zao mobutu na habyaramana so wakawa marafiki wakubwa.
Kuna taarifa kuwa Laurent Kabila ndiye alihusika na mauaji ya Christopher.
Ila baada ya kifo cha christopher Laurent kabila alimuoa mjane yani aliyekuwa mke wa rafiki yake hivyo akamchukua na mtoto wake hippolyte kanabe akambadili jina na kumuita joseph kabila.
mkuu nmependezwa na ueledi wako katika suala hili..ningependa kukuuliza utufafanulie uvumi kuwa nelson mandela,aliyekuwa rais wa afrika kusini ndiye alihusika na kifo cha machel aliyekuwa rais wa mozambique ili atimize haja zake za kimapenzi na mkewe machel ambaye ni Graça machel..
 
mkuu nmependezwa na ueledi wako katika suala hili..ningependa kukuuliza utufafanulie uvumi kuwa nelson mandela,aliyekuwa rais wa afrika kusini ndiye alihusika na kifo cha machel aliyekuwa rais wa mozambique ili atimize haja zake za kimapenzi na mkewe machel ambaye ni Graça machel..
Kwamba alihusika kufanya mipango ya mauaji akiwa jela? Muhimu ni kujua Mandela alifungwa mwaka gani? Ametoka mwaka upi? Samora ameuwawa mwaka gani? Mandela na Graca wameoana mwaka gani? Inaweza kukupa picha japo ukaielewa kidogo
 
mkuu nmependezwa na ueledi wako katika suala hili..ningependa kukuuliza utufafanulie uvumi kuwa nelson mandela,aliyekuwa rais wa afrika kusini ndiye alihusika na kifo cha machel aliyekuwa rais wa mozambique ili atimize haja zake za kimapenzi na mkewe machel ambaye ni Graça machel..
Haiwezekani... Mandela alikuwa bado gerezani.
Machel aliuawa na Makaburu baada ya kuimslead ndege yake kwa tahadhari ya uongo wakamfanya pilot aelekee milamani.
 
Haiwezekani... Mandela alikuwa bado gerezani.
Machel aliuawa na Makaburu baada ya kuimslead ndege yake kwa tahadhari ya uongo wakamfanya pilot aelekee milamani.
inasemekana wahusika walikuwa chini ya amri yake mandela..na ikiwa sivyo,ni kwa nini mandela akaishia kumuoa mjane wa machel?
 
inasemekana wahusika walikuwa chini ya amri yake mandela..na ikiwa sivyo,ni kwa nini mandela akaishia kumuoa mjane wa machel?
Kumuoa mke wa rafiki yako siyo kosa na sidhani kama mke wa machel alikuwa na.mahusiano na mandela wakati mumewe akiwa hai na wadhani yeye angekubari kuolewa na muaji wa mumewe?
 
Back
Top Bottom