Utata mtupu!

Kibunago

JF-Expert Member
Jan 11, 2008
300
122
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!
 
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!

Utata ni kwa CCM na KATIBA YA NCHI. Kwani jaji mkuu anateuliwa na nani.
 
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!
Kibs.
mara mojamoja acha kufikiria kisisiemu sisiemu. hapo hakuna utata wowote kwanza Jaji mkuu ni nje ya mhimili ulioomba ajitoe. Pili ni kawaida upande mmoja usipokuwa na imani na refa huomba ajiondoe mradi kuwe na sabau zenye nguvu kisheria.
Mifano ipo ambapo serikali ilishawahi kufanya hivyo ambapo iliomba Jaji Mwalusanya ajitoe katika kesi ya mgombea binafsi kwa madai kuwa alikuwa muumini wa haki za binadamu hivyo asingeweza kutenda haki.
 
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!
Duh nilifkiri Kibunango kabadili avatar!
Kumbe Kibunago :lol:
 
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!

Mbona hukuweka sababu za serikali kumkataa JM, Labda naye anamasilahi pale! Lete kwanza sababu walizotoa ndipo tuchangie tukiwa tunajua kilichojili!

 
Jaji Mkuu agoma kujitoa kesi ya samaki 'wa Magufuli' Send to a friend Thursday, 16 December 2010 20:39

JAJI Mkuu wa Tanzaia, Agustino Ramadhan, amepuuza maombi ya Serikali ya kumtaka ajiondoe katika jopo la majaji wanaosikiliza maombi ya dhamana ya washtakiwa katika kesi ya uvuvi haramu, katika Ukanda wa Bahari Kuu wa Tanzania

Sorce: Mwananchi


Usaniii mtupuu, don't disturb! ze comedy bado inaendelea
 
Hivi kweli ni hekima na picha gani wananchi wanayoipata ukisikia kuwa eti Serikali yamkataa Jaji Mkuu katika kesi ya samaki.

Tunaelewa kuwa kama Hakimu / jaji ana maslahi katika kesi fulani anatakiwa kujiondoa mwenyewe lakini kufikia hatua ya yeye (Jaji Mkuu) kukataliwa na kutangazwa katika vyombo vya habari mimi naona kuna utata fulani na si picha nzuri.

I stand to be corrected!

Samaki?
 
Back
Top Bottom