Utata kuhusu MUNGU na majina yake, ukweli ni upi

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,895
25,944
Baba wa mbinguni mungu awe nanyi daima wapendwa wote muaminia uwepo wake na musio amin

Mimi naomba kueleweshwa na kuondolewa utata kuhusu mungu na majina yake

Je allah ni nani na ni nini, ni sifa ya mungu au ni jina la mungu, je huyo allah ni muumbaji au naye kaumbwa, naomba ushahidi wa maandishi kuhusu uumbaji wa allah au kuumbwa kwake ushahidi huo uwe wake mwenyewe kutoka kitabu chake mwenyewe akisema mimi allah ndo muumbani

Yehova ni nani na ni nini je ni muumbaji au naye kaumbwa hivo hivo naomba ushahidi wa jehova kama hapo juu kwa allah
 
Baba wa mbinguni mungu awe nanyi daima wapendwa wote muaminia uwepo wake na musio amin

Mimi naomba kueleweshwa na kuondolewa utata kuhusu mungu na majina yake

Je allah ni nani na ni nini, ni sifa ya mungu au ni jina la mungu, je huyo allah ni muumbaji au naye kaumbwa, naomba ushahidi wa maandishi kuhusu uumbaji wa allah au kuumbwa kwake ushahidi huo uwe wake mwenyewe kutoka kitabu chake mwenyewe akisema mimi allah ndo muumbani

Yehova ni nani na ni nini je ni muumbaji au naye kaumbwa hivo hivo naomba ushahidi wa jehova kama hapo juu kwa allah
Fake id at its best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom