GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,847
“ Katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia, kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo, uzushi na propaganda dhidi ya nchi yetu kutoka mashirika ya kimataifa au wawakilishi wa mataifa ya nje “. @TZMsemajiMkuu
Ndugu zangu wa Tabata Relini Media, Kawe Beach Media na Mikocheni Industrial Area Media Shikamooni na mpo tayari pia.
Ndugu zangu wa Tabata Relini Media, Kawe Beach Media na Mikocheni Industrial Area Media Shikamooni na mpo tayari pia.