carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Kuna hii tabia ya wanawake wakigundua waume zao au BF zao wanacheat na hasa wakipata namba za mgombea mwenza kupitia simu za waume zao, wanaamua kuwacontact wale wezi wao, sas mimi huwa nashangaa je yule mwizi wako akiamua kukutukana na kukudhalilisha zaidi itakuwaje? Kwangu mimi nadhani ni vizuri u-deal na mumeo, lakini kwa napenda kupata maoni tofauti ya watu.
1. Ukijua unaibiwa na ukipata contact za mwizi wako je utamcontact?
2. Kama wewe ndo mwizi wa mume wa mtu na mwenye mali kakushtukia kakupigia au kutext utareact vipi?
1. Ukijua unaibiwa na ukipata contact za mwizi wako je utamcontact?
2. Kama wewe ndo mwizi wa mume wa mtu na mwenye mali kakushtukia kakupigia au kutext utareact vipi?