Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,626
Kijijini Tulya,kata Tulya,Kitongoji Bambaraga...
Mpaka sasa hatujui utaratibu wa upigaji kura!wanaojua mnifahamishe,wananchi wanahofu mpango wa hujuma wa serikali kuhujumu wakisaidiwa na wakala CCM...
Hatuna shida na Mwigulu Nchemba!yeye amepita na kura keshapata in advance!
Uongozi wa kata,vijiji,vitongoji na ujumbe serikali za vijiji ndizoo tulizo na kinyongo nazo
MAKAMANDA..UTARATIBU NI UPI!?
VIVA IRAMBA MAGHARIBI
Mpaka sasa hatujui utaratibu wa upigaji kura!wanaojua mnifahamishe,wananchi wanahofu mpango wa hujuma wa serikali kuhujumu wakisaidiwa na wakala CCM...
Hatuna shida na Mwigulu Nchemba!yeye amepita na kura keshapata in advance!
Uongozi wa kata,vijiji,vitongoji na ujumbe serikali za vijiji ndizoo tulizo na kinyongo nazo
MAKAMANDA..UTARATIBU NI UPI!?
VIVA IRAMBA MAGHARIBI