#COVID19 Utaratibu wa uendeshaji vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kupambana Maambukizi ya COVID-19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,862
1629265184860.png

1629265193571.png
 
Hadi wao wameanza kuogopa korona?

Unafiki hautaisha hapa Duniani.

Sasa wananchi hawawaelewi tena. Acha waeleweke kwa Wazungu huko.

Korona hii ndo imefanya Marais wengi kupigwa chini kwenye chaguzi huko Duniani.
 
Hivi kweli wazungu wanataka kutuua si wangetuletea chanjo ya ukimwi?ya nini kuhangaika na makorona? Tena ya ukimwi ndio kila mtu huku afrika angeigombea?
Tafakari nenda kachanje, achana na wapuuzi
 
Back
Top Bottom