conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,116
- 762
Samahani naomba isichukuliwe maana tofauti ya kumlenga mtu au kiongozi flani .lengo kujengeana utaratibu bora wa uongozi na madaraka na ni mtazamo tu.
UShauri
Kuanzia waziri, mkuu wa mkoa mpaka mkuu wa wilaya na afisa tarafa ni vema wana siasa na Hata wataalam wakateuliwa. Kuanzia ukatibu mkuu kiongozi,katibu mkuu wizara mbali mbali, Ras, Das, ded iwe wataalam sifa zile za kiutumishi tu. Na utenguzi wao uwe kwa kukosa sifa za kiutumishi na sio za kisasa.
Wajumbe wa bodi angalau isipungue 1/3 wawe wataalam wa hiyo fani.
Nafasi za viti maalumu za ubunge na udiwani wawe watu wenye outstanding performance kwenye Jamii ambapo wanaweza saidia jamii kupita bunge au baraza kufanya maamuzi sahihi.
Hii itatusaidia sana kuwa mfumo mzuri na matokeo ya uhakika kwa wananchi. Utaratibu huo nilio uzungumzia ,je ni vema ukawa wa kimaandishi?
Je, mnaonaje katika hilo?
UShauri
Kuanzia waziri, mkuu wa mkoa mpaka mkuu wa wilaya na afisa tarafa ni vema wana siasa na Hata wataalam wakateuliwa. Kuanzia ukatibu mkuu kiongozi,katibu mkuu wizara mbali mbali, Ras, Das, ded iwe wataalam sifa zile za kiutumishi tu. Na utenguzi wao uwe kwa kukosa sifa za kiutumishi na sio za kisasa.
Wajumbe wa bodi angalau isipungue 1/3 wawe wataalam wa hiyo fani.
Nafasi za viti maalumu za ubunge na udiwani wawe watu wenye outstanding performance kwenye Jamii ambapo wanaweza saidia jamii kupita bunge au baraza kufanya maamuzi sahihi.
Hii itatusaidia sana kuwa mfumo mzuri na matokeo ya uhakika kwa wananchi. Utaratibu huo nilio uzungumzia ,je ni vema ukawa wa kimaandishi?
Je, mnaonaje katika hilo?