Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Habari wakuu. Naulizia tu utaratibu wa talaka, hasa kwa ndoa zilizofungwa kiserikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.. Fikiria watoto pia kuna mgawo wa mali hapoHabari wakuu. Naulizia tu utaratibu wa talaka, hasa kwa ndoa zilizofungwa kiserikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutagawana chaga, bosiPole sana mkuu.. Fikiria watoto pia kuna mgawo wa mali hapo
Hilo nalo neno. But too much is harmfulPole sana mkuu.. Fikiria watoto pia kuna mgawo wa mali hapo
mkeo kazini?Hilo nalo neno. But too much is harmful
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye ni yuleyule...Ukitoa talaka labda uache kabisa kuoa mkuu, manake wanawake ni walewale
Sent using Jamii Forums mobile app
Loh! Nitahamia Uingerezakwanza mnapenda baraza la kata ambao ndio wasuluhishi nakikao wakisema wameshindwana kuwasuluhisha mnaenda mahakamani kila pande inasikilizwa..hukumu itatolewa mtapeana taraka,then mgawanyo wa mali.na custody ya watoto.. ili upate haraka nenda primary court..all the best...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna utaratibu mgumu wa kupeana talaka Kama wa kibongo.
Yaani Ni Kama mtauana vile
Sent using Jamii Forums mobile app