themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Sijawahi ona sehemu yenye usafiri ambao gari zote zinaondoka wakati mmoja mapema sana kama Rombo, Tarakea
Yani gari zote zinaondoka saa 11 hadi 12 kamili yaani huwezi kuta basi ya saa 1 au saa mbili hadi saa nne hivi huwa mnakimbiliaga wapi warombo?
Amgalieni mtwara gari hadi zaa saa sita sio kila mtu anataka kukimbizana asubuhi asubuhi
Yani gari zote zinaondoka saa 11 hadi 12 kamili yaani huwezi kuta basi ya saa 1 au saa mbili hadi saa nne hivi huwa mnakimbiliaga wapi warombo?
Amgalieni mtwara gari hadi zaa saa sita sio kila mtu anataka kukimbizana asubuhi asubuhi