Utaratibu wa kurudi Chuoni ukoje kwa Mtu ambaye aliacha masomo bila ya kutoa taarifa?

Supu ya kokoto

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
3,697
6,743
Ndugu wana JF salute.

Mimi nilihitimu form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila ya kutoa taarifa chuoni.

Nikaingia mtaan kuji'reboot na bahati nzuri nimebahatisha nataka kurudi kumalizia masomo yangu bila kutegemea loan board. Naomba wadau mnisaidie taratibu zikoje hasa kwa mtu ambaye hakuandika barua ya kuahirisha masomo.

NAOMBA USHAURI AU MAONI MAANA NATAKA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 NDO NIFANYE APPLICATION.

asanteni
 
Una app upya mkuu.
Laiti ungeahirisha mwaka lazima Kuna kiasi cha ada ingetakiwa ulipe ndipo uthibitishwe kuahirisha mpaka kipindi mlichokubaliana utarudi. Na katika hilo maana yake hautaomba chuo upya.
Ila wewe suala lako la kuacha kimya kimya means wamekufuta so utaomba chuo upya Afu nadhan muda wa kuomba umeisha. Just try your lucky!.
 
am sure walikudiscosisha mkuu baada ya matokeo kutuonekana nenda kachukue barua then peleka TCU usijichoshe apply upya tu. ingekuwa private wangekuelewa lakini serikali hawajali kabisaaaa
 
ndugu wana JF salute.

mimi nilihitim form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila taarifa chuoni.

So nikaingia mtaan kuji'reboot na bahati nzuri nimebahatisha nataka kurudi kumalizia masomo yangu bila kutegemea loan board....so naomba wadau mnisaidie taratibu zikoje hasa kwa mtu ambaye hakuandika barua ya kuahirisha masomo.

NAOMBA USHAURI AU MAONI MAANA NATAKA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 NDO NIFANYE APPLICATION.

asanteni
ulisoma college gani udom?
 
am sure walikudiscosisha mkuu baada ya matokeo kutuonekana nenda kachukue barua then peleka TCU usijichoshe apply upya tu. ingekuwa private wangekuelewa lakini serikali hawajali kabisaaaa

barua naichukua wapi mkuu chuo nlichokuwa au....
 
ndugu wana JF salute.

mimi nilihitim form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila taarifa chuoni.

So nikaingia mtaan kuji'reboot na bahati nzuri nimebahatisha nataka kurudi kumalizia masomo yangu bila kutegemea loan board....so naomba wadau mnisaidie taratibu zikoje hasa kwa mtu ambaye hakuandika barua ya kuahirisha masomo.

NAOMBA USHAURI AU MAONI MAANA NATAKA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 NDO NIFANYE APPLICATION.

asanteni

Anzia UDOM ukaeleze kwanini "uliingia mitini" (hakikisha wanakuelewa) kisha wao watakuandikia barua ya kuthibitisha wewe si mwanafunzi unayeendelea na masomo hapo kwao. Barua hiyo unaenda nayo TCU kisha unajaza fomu ya kuomba kudahiliwa upya baada ya hapo unaweza kuomba chuo utakacho kwa mujibu wa vigezo na sifa ulizo nazo. Kwa sababu unataka kuomba chuo msimu wa mwaka 2019/2020 basi mambo hayo unaweza ukayafanya mwakani muda mchache kabla ya maombi kuanza.
 
Anzia UDOM ukaeleze kwanini "uliingia mitini" (hakikisha wanakuelewa) kisha wao watakuandikia barua ya kuthibitisha wewe si mwanafunzi unayeendelea na masomo hapo kwao. Barua hiyo unaenda nayo TCU kisha unajaza fomu ya kuomba kudahiliwa upya baada ya hapo unaweza kuomba chuo utakacho kwa mujibu wa vigezo na sifa ulizo nazo. Kwa sababu unataka kuomba chuo msimu wa mwaka 2019/2020 basi mambo hayo unaweza ukayafanya mwakani muda mchache kabla ya maombi kuanza.

Asante sana mkuu.....
 
Una app upya mkuu.
Laiti ungeahirisha mwaka lazima Kuna kiasi cha ada ingetakiwa ulipe ndipo uthibitishwe kuahirisha mpaka kipindi mlichokubaliana utarudi. Na katika hilo maana yake hautaomba chuo upya.
Ila wewe suala lako la kuacha kimya kimya means wamekufuta so utaomba chuo upya Afu nadhan muda wa kuomba umeisha. Just try your lucky!.
Habari yako, kama upo seriously hakika, omba leo yaani Sasa hivi. Ifikapo saa 05:59 usiku wa leo System itafungwa na hutoweza tena!! Kwa msaada zaidi tuma details zako if huna idea
 
Ndugu wana JF salute.

Mimi nilihitimu form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila ya kutoa taarifa chuoni.

Nikaingia mtaan kuji'reboot na bahati nzuri nimebahatisha nataka kurudi kumalizia masomo yangu bila kutegemea loan board. Naomba wadau mnisaidie taratibu zikoje hasa kwa mtu ambaye hakuandika barua ya kuahirisha masomo.

NAOMBA USHAURI AU MAONI MAANA NATAKA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 NDO NIFANYE APPLICATION.

asanteni
Kama uliacha masomo bila taarifa maana yake chuoni wamekuwekea disco , nenda tcu kafanye clearance
 
Ndugu wana JF salute.

Mimi nilihitimu form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila ya kutoa taarifa chuoni.

Nikaingia mtaan kuji'reboot na bahati nzuri nimebahatisha nataka kurudi kumalizia masomo yangu bila kutegemea loan board. Naomba wadau mnisaidie taratibu zikoje hasa kwa mtu ambaye hakuandika barua ya kuahirisha masomo.

NAOMBA USHAURI AU MAONI MAANA NATAKA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 NDO NIFANYE APPLICATION.

asanteni
Kama uliondoka kimya kimya, kaingie kimya kimya pia mkuu
 
Sheria ya vyuo usipofanya mtihani bila taarifa , ukiondoka bila taarifa wew unakuwa discontinued , tena chuo hakitak kukuona hapo mpaka baada ya miaka mitatu tena inabid uombe kuanzia mwanzo kama mwanafunzi mpya
 
Back
Top Bottom