Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,096
Mwigulu Mchemba kiongozi aliyevuliwa uwaziri wa mambo ya ndani , aliwahi kuonekana mara kadhaa akiwa amevaa Magwanda ya Jeshi la polisi , sina hakika kama aliwahi kupewa kirungu ama silaha yoyote .
Sasa ameondolewa , je utaratibu wa kurejesha magwanda ya umma ukoje ?
Sasa ameondolewa , je utaratibu wa kurejesha magwanda ya umma ukoje ?