Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

Hivi ikiwa umebambikwa mtoto ndani ya ndoa yako,jibu ni kupima DNA au ni kureview mahusiano na mkeo? Hapa naona ni kama tatizo ni kuzaa na mwanaume wa nje,na sio mkeo kutoka nje ya ndoa! Suppose ukipima ukakuta ni mwanao kweli,je mahusiano ndani ya ndoa yatakuwaje?Na je,hiyo itaondoa uwezekano wa mkeo kutoka nje ya ndoa?Anyway,kapimeni.
 
inafuatana unataka kupima kwaajili ya nini, kama ni 'kesi' mpaka upata kibali kutoka mamlaka zinazo husika kama polisi/mahakama
JIBU: kwa mkemia mkuu, jirani na hospitali ya ocen road POSTA
Elia siku hizi wamelegeza.. unachotakiwa kwenda nacho ni barua toka kwa mwanasheria inayokutaja wewe ukiwa na akili timamu umeamua kufanya kipimo cha DNA na baada ya hapo utatakiwa kupeleka sampuli (iwe ni mate.. mswaki au nywele au kingine utakachoambiwa) toka kwa wahusika wote.. mfano kama unataka kupima mtoto kama ni wako mara nyingi wanataka sampuli toka kwako.. mtoto na mama yake.. na last time nakumbuka gharama ilikuwa ni Tshs. 100,000.00 kwa kipimo kimoja.. maana yake cha baba.. mama na mtoto jumla inakuwa Tshs. 300,000.00..

NB: Kamba za kujinyongea wanatoa bure.. tena zile za nailoni zenye quality nzuri.. na wanatoa ushauri jinsi ya kujimaliza kama majibu ulioyoyapata pale yamekunyong'onyesha..
 
Last edited by a moderator:
Elia siku hizi wamelegeza.. unachotakiwa kwenda nacho ni barua toka kwa mwanasheria inayokutaja wewe ukiwa na akili timamu umeamua kufanya kipimo cha DNA na baada ya hapo utatakiwa kupeleka sampuli (iwe ni mate.. mswaki au nywele au kingine utakachoambiwa) toka kwa wahusika wote.. mfano kama unataka kupima mtoto kama ni wako mara nyingi wanataka sampuli toka kwako.. mtoto na mama yake.. na last time nakumbuka gharama ilikuwa ni Tshs. 100,000.00 kwa kipimo kimoja.. maana yake cha baba.. mama na mtoto jumla inakuwa Tshs. 300,000.00..

NB: Kamba za kujinyongea wanatoa bure.. tena zile za nailoni zenye quality nzuri.. na wanatoa ushauri jinsi ya kujimaliza kama majibu ulioyoyapata pale yamekunyong'onyesha..


Duh, mkuu hapa kwa nyekundu ndiyo umemaliza yaani "kwisha malegea" wangoni wanasema!
Huu uzi umeniaminisha wasemavyo wenzetu kuwa "men make good friends than women" Naona waheshimiwa wengi wanatunziana heshima katika uzi huu, hawataki kashfa katika mfumo dume!
 
[/B][/COLOR]Duh, mkuu hapa kwa nyekundu ndiyo umemaliza yaani "kwisha malegea" wangoni wanasema!
Huu uzi umeniaminisha wasemavyo wenzetu kuwa "men make good friends than women" Naona waheshimiwa wengi wanatunziana heshima katika uzi huu, hawataki kashfa katika mfumo dume!

Ha ha ha Mtanga Tc.. Kwa mujibu wa records kutoka huko wanakofanya vipimo.. Asilimia 60 ya wanaonda kufanya paternity test majibu yanakuwa negative..
 
Last edited by a moderator:
Utakumbuka ushauri wangu huu chonde chonde achana na mambo ya DNA

Don't be pathetic. Ukweli ni jambo zuri kufahamika mapema. Watoto wengi wanakengeuka sababu ya upuuzi unaofanywa na wanawake wanapokosa uaminifu. Blood line ya mtu inapaswa kuangaliwa kwa umakini.

Mambo ya 'oooh we lea tu watoto utapata baraka' ni mambo ya buguruni. Sijui tumeumbwaje na mioyo ya kike kama malofa
 
Don't be pathetic. Ukweli ni jambo zuri kufahamika mapema. Watoto wengi wanakengeuka sababu ya upuuzi unaofanywa na wanawake wanapokosa uaminifu. Blood line ya mtu inapaswa kuangaliwa kwa umakini.

Mambo ya 'oooh we lea tu watoto utapata baraka' ni mambo ya buguruni. Sijui tumeumbwaje na mioyo ya kike kama malofa
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza tatizo unatumia miguvu mingi uonekane unajua kumbe unaungua na jua nikikuuliza baada ya kupima what next? Ukiwa unashauli uanapaswa kujenga na siyo kubomoa. TAKE CARE
 
Ha ha ha Mtanga Tc.. Kwa mujibu wa records kutoka huko wanakofanya vipimo.. Asilimia 60 ya wanaonda kufanya paternity test majibu yanakuwa negative..
Ninaaminishwa, wakikuta majibu ni -ve wengi wao wanakuwa wapole ghafla.....wadogoooo kama piritoni.... Ukweli ni kwamba hii mambo INATISHA!
Wakina mama wengine wanjanja, akiona amechepuka nje na kupata ujauzito, wakati amejifungua anakuwa na timu yake ya kampeni....kila mwanamke anakuwa na usemi wa "ooh mtoto kamlanda babaye, utasema kamtapika".Kuna mmoja aliwahi kusema mtoto kafanana na babaye mpaka utosi!!!
 
bongo nenda hospital ya regency
bei ni kama laki tatu tu.

na usipoamini kipimo chako kata rufaa
watatuma kipimo nairobi kwa gharama nyingine lakini
 
shukran mkuu. sasa kama unataka for parental test nayo utahitaji kuwa na kibali?
Haswa hiyo ni mojawapo ya sababu za msingi.
Fikiria unaenda na mkeo na mtoto ili mkapime,unagundua mtoto siyo wako na hapo hapo unapandisha hasira unataka kuua mtu,ofisi ya mkemia mkuu inafanyaje?
Unapoenda kupima unakuwa na lugha safi,lakini matokeo yakitoka kinyume cha matarajio mara nyingi huwa watu wanashindwa kujizuia.Kwa hiyo ndo maana wanafuata taratibu fulanifulani.
Pia usisahau huduma hiyo inalipiwa,siku za nyuma ilikuwa shiling laki tatu na nusu siku hizi sijui watakufahamisha
hata hivyo nakushauri utembelee ofisi hiyo ya mkemia mkuu wa serikali watakujuvya ya kufanya.
 
Kaka, achana na hiyo habari kabisa kama shida ni kutaka kujua endapo mtoto ni wako wa wewe ni mtoto wa baba yako! Sana utajipunguzia siku za kufaidi maisha hapa duniani - ni nouma!!
 
Yaani Wtz tu watu wa ajab sana. Badala ya kuangalia na kusitisha uzaaji nje ya ndoa. Tunaanza kupiga marufuku watu wasipime. Mi nakushauri ukawapime na kama utakuta sio wako mwambie mkeo ataje babayao halisi aje awachukue na ukae nae akuzalie wakwako kudadadeki.
 
Mwaka 2009 nikiwa Mwanza niliwahi kusikia kuwa BMC (Bugando) ilikuwa kwenye 500,000/= kwa mtu akienda "kichwakichwa" lakini akipelekwa na Serikali mf. Kesi ya Mahakama, nk. ilikuwa nafuu sana!
 
Habarini wakuu, naomba kufahamishwa gharama ya zoezi hilo, Pia ningependa
kufahamu ni hospitali zipi kwa hapa Tanzania zinatoa huduma hizo.
Ahsanteni.

Ni pale kwa mkemia mkuu wa serikali, ila nasikia siku hizi utaratibu ni kupitia polisi au hospitali wao ndio wanapeleka huko kwa mkemia kwa ajili ya vipimo.

Kwa mkemia walishindwa kuhimili mikiki ya watu wanapo pokea matokeo, maana huwa zinapigwa ndondi balaaa
 
Kipimo cha DNA kinapatikana ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali gharama ya USD 100, lakini uwe na barua toka ofisi ya ustawi wa jamii, ama mahakamani , msikitini ama kanisani kikijulisha kuwa kuna shauri limewasilishwa kwenye taasisi husika kwa ajili ya ufumbuzi na katika kutafuta ufumbuzi inabidi DNA ifanyike
 
Back
Top Bottom