Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,516
Mkuu Baba Ubaya,mashauri yote juu ya watoto yanasimamiwa na Sheria ya Mtoto,2009 pamoja na Kanuni zilizotengenezwa kwayo.Yeyote anayetaka kushughulika na suala la mtoto afungue shauri kulingana na Sheria tajwa.
Fahamu ya kuwa,mtoto ni yule mwenye miaka chini ya kumi na nane(18). Amri ya kupima DNA hutolewa na Mahakama tu pale itakapoona kuna haja ya kufanya hivyo. Suala la mtoto ni suala nyeti na ni lazima limalizwe na Mahakamani kwa mujibu wa sheria.
Fahamu ya kuwa,mtoto ni yule mwenye miaka chini ya kumi na nane(18). Amri ya kupima DNA hutolewa na Mahakama tu pale itakapoona kuna haja ya kufanya hivyo. Suala la mtoto ni suala nyeti na ni lazima limalizwe na Mahakamani kwa mujibu wa sheria.
Last edited by a moderator: