PMsechu
Senior Member
- Nov 12, 2016
- 153
- 143
Nenda google andika DNA checkup itatokeza application za kuchagua alafu unadownload. Iyo unaweza kupimia iyo mambo mkuuapplication gani hiyo mkuu.,,!?samahani
Nenda google andika DNA checkup itatokeza application za kuchagua alafu unadownload. Iyo unaweza kupimia iyo mambo mkuuapplication gani hiyo mkuu.,,!?samahani
Hii ni chenga live.Nenda google andika DNA checkup itatokeza application za kuchagua alafu unadownload. Iyo unaweza kupimia iyo mambo mkuu
unamchukua mshikaji mnajifanya mnagombania mtoto.Yaani kwa utaratibu huu usitegemee mkemia akuambie mtoto sio wako,kama mtoto atakuwa ana mzozo(yaani anagombaniwa na baba zaidi ya mmoja) na ikawasilishwa kama kesi hapo majibu yatatolewa kulingana na vipimo vinavyosema. Lkn eti unataka kujua kama ni wako au sio wako hapo jibu utaambiwa ni wako.
Mkuu wewe hujawahi kula kavukavuDuh vijana wana hatari mwanamke umekutana nae Mara moja tu halafu unaenda peku peku haya uungetumia hata ndom ya jero haya yote yasingekukuta
Kuna chembechembe za ukweliCku iz DNA hawasemi ukweli yan upime lazma usakiziwe cheche tuu nahic wanajaribu kupunguza watoto wa mitaani kwa upande wangu me sipimi DNA wala nn
Damu nzito kuliko sodaMimi ndio hata nisingehangaika. Huyo mwanamke mshenzi sana.
EtiiiKwa tabia hii tafadhali nenda ANGAZA!
Mimi sins tatizo demu ndo anataka DNA.....kama alikuambia miezi kadhaa kuwa ana mimba na mtoto sasa ana miaka mitano;
...kwanini hukupima muda wote,ama ushahudumia sana ndo machale yanakucheza!??
Unataka unioe mkuu leta posa kwetu.nimeuliza kumsaidia ndugu yangu.avatar yako inaonyesha wewe una mpasuko katikati ya miguu mkuu, kumbe dume? hivi watu wengine mnapata ujasiri gani kujipresent kama wanawake kumbe ni wanaume?
tukija kwenye point, DNA mara nyingi inadanganya, hasa katika dunia hii ya wachawi na washirikina. hivi unaamini wanawake wengi sana tanzania wanabakwa usiku na wachawi na wanazalisha na watoto kabisa? hata ukifanya sensa humu kama kuna mwanamke alishawahi kukaa uswahilini, wapo wengi tu wakiamka asubuhi wanajikuta wamelowa wachawi wamewabaka na kuwajojolea kabisa mbegu. na mbegu hizo usifikiri hazifanyi kazi....nyie mnaovaa visuruali na vibana maungo na kujipitisha mbele za watu uswahilini, kuna vibabu vingi tu havina uwezo kuwatongoza hadi kuwapata, huwa wanawafuata usiku. wake za watu wengi tu wanafanywa usiku. hivyo mwanamke anaweza kuwa na uhakika hajawahi kuchepuka hivyo akawa na uhakika watoto watakuwa wako, kumbe ni wa mchawi, na DNA inasema vingineee? sijui mtasingizia ubovu wa mashine ya DNA au vipi sasa.
Only my wifeMkuu wewe hujawahi kula kavukavu
nikuoe we dume afu nikupeleke wapi aisee. si nitakupiga risasi tu.Unataka unioe mkuu leta posa kwetu.nimeuliza kumsaidia ndugu yangu.
Kauli ya binti ina nguvu kuliko DNA paternity test, tekeleza anachotaka yeye, dont waste your timeWana jamiiforums wenzangu, kuna binti nilikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi. Nilisex naye mara moja huko Singida, baada ya miezi kadhaa akaniambia ana mimba yangu. Mtoto ana miaka mitano sasa, mwanamke anasema hana uhakika kama mtoto ni wangu ama la! Ameshauri tukapime DNA.
Kwa anayejua gharama na taratibu naomba anijulishe.