ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,139
- 3,764
Nimekuwa nafuatilia comment nyingi za wazungu waliopo ulaya na US .
Wao huingia mkataba na mteja na ķuwa analipa kidogo kidogo kwa muda .na wengi hununua simu mpya kabisa kulingana na makubaliano .
Njia hii nimeipenda kwani hufanya mtu anunue blanded new phone kwa mkataba bila maumivu.
Hivi wenye mabenk hamlifikirii hili kulianzisha mkiingia mikataba na makampuni ya simu.
MAWAZO YANGU.
Wao huingia mkataba na mteja na ķuwa analipa kidogo kidogo kwa muda .na wengi hununua simu mpya kabisa kulingana na makubaliano .
Njia hii nimeipenda kwani hufanya mtu anunue blanded new phone kwa mkataba bila maumivu.
Hivi wenye mabenk hamlifikirii hili kulianzisha mkiingia mikataba na makampuni ya simu.
MAWAZO YANGU.