MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,702
Hii nchi mazingira ya biashara bado ni magumu sana.
TRA bado ni kikwazo sana kwenye mazingira bora ya kufanya biashara Tanzania, jamaa wana ukadiriaji wa kukomoa vile na bila kuwekeza kwenye ujanja janja huwezo toboa.
Nimefuatilia certficate kwa ajili ya biashara yangu, nimepata usumbufu sana hasa kwenye ukadiriaji, usipokuwa makini unakadiriwa kodi ambayo hutakaa uiweze hata kabla ya kuanza biashara.
Mazingira bado sio rafiki kwa kufanya biashara nchini.
TRA bado ni kikwazo sana kwenye mazingira bora ya kufanya biashara Tanzania, jamaa wana ukadiriaji wa kukomoa vile na bila kuwekeza kwenye ujanja janja huwezo toboa.
Nimefuatilia certficate kwa ajili ya biashara yangu, nimepata usumbufu sana hasa kwenye ukadiriaji, usipokuwa makini unakadiriwa kodi ambayo hutakaa uiweze hata kabla ya kuanza biashara.
Mazingira bado sio rafiki kwa kufanya biashara nchini.