Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 867
- 1,008
Natumai mnaendelea vizuri na majukumu yenu bila kusahau harakati za kampeni za uchaguzi.
Kuna maswali najiuliza juu ya huu mchakato wa ugawaji wa mbolea za yara.
Utaratibu unakutaka Kuomba kupitia kujisajili kwa kutumia menyu unayoipata kwa kupiga *149*46*16# kwanye mitandao ya simu. Utaratibu unakutaka utumie Id no ya mpigakura.
Baada ya kujisajili ikiwa bahati yako unajulishwa sehemu yakwenda kuchukua mbolea ktk kituo kilichoidhinishwa kugawa mbolea kulingana na taarifa ulizozijaza.
Je hi mbolea ni yaruzuku?
Kama ya ruzuku kwa nini iwe YARA tu?
Watu wasio wakulima wamepewa nafasi ya kuipata ambapo baada ya kuipata wanaiuza !
NB
Kama huu mchakato ni wa YARA wenyewe asanteni, maana labda ni mbinu ya kuitambulisha zaidi mbolea yenu.
Lakini wanaopata wengi sio wakulima wanaiuza baada yakuipata kwani utaratibu unataka uwe na kitambulisho cha mpigakura.
Pia baadhi ya mawakala wameongeza sharti lingine LA kulipia soln fertilizer iliupewe mbolea.
Kuna maswali najiuliza juu ya huu mchakato wa ugawaji wa mbolea za yara.
Utaratibu unakutaka Kuomba kupitia kujisajili kwa kutumia menyu unayoipata kwa kupiga *149*46*16# kwanye mitandao ya simu. Utaratibu unakutaka utumie Id no ya mpigakura.
Baada ya kujisajili ikiwa bahati yako unajulishwa sehemu yakwenda kuchukua mbolea ktk kituo kilichoidhinishwa kugawa mbolea kulingana na taarifa ulizozijaza.
Je hi mbolea ni yaruzuku?
Kama ya ruzuku kwa nini iwe YARA tu?
Watu wasio wakulima wamepewa nafasi ya kuipata ambapo baada ya kuipata wanaiuza !
NB
Kama huu mchakato ni wa YARA wenyewe asanteni, maana labda ni mbinu ya kuitambulisha zaidi mbolea yenu.
Lakini wanaopata wengi sio wakulima wanaiuza baada yakuipata kwani utaratibu unataka uwe na kitambulisho cha mpigakura.
Pia baadhi ya mawakala wameongeza sharti lingine LA kulipia soln fertilizer iliupewe mbolea.