dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
A to z UTARATIBU wA KUNUNUA GARI SHOWROOM UPOJE ??
Yaani tayari nina vijisent vyangu na tayari nishafika showroom...hatua zipo vp mpaka naanza kuitumia hiyo gari bila usumbufu wala malipo mengine yoyote...nawasilisha wakuu
Maana wengi wanafaham hatua za kuagiza nje tu...kuhusu showroom zetu steps zipoje..
na ipi nafuu kati ya kuagiza nje na showroomn zetu hapa bongo
Yaani tayari nina vijisent vyangu na tayari nishafika showroom...hatua zipo vp mpaka naanza kuitumia hiyo gari bila usumbufu wala malipo mengine yoyote...nawasilisha wakuu
Maana wengi wanafaham hatua za kuagiza nje tu...kuhusu showroom zetu steps zipoje..
na ipi nafuu kati ya kuagiza nje na showroomn zetu hapa bongo