Utaratibu wa kumuondoa Spika madarakani

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Taratibu za kumuondoa Spika madarakani

1,Mbunge yeyote anayetaka kumuondoa Spika madarakani atawasilisha hoja kwa ibara 84(7) (d) ya katiba atawasilisha kusudio hilo na atatoa sababu

2,Baada ya kupokea taarifa hiyo ,katibu ataipelekeka taarifa hiyo kwenye kamati ya Haki , Maadili na madaraka ya Bunge kujadiliwa

3,Endapo kamati ya Haki,maadili na madaraka ya bunge wataridhika na tuhuma kutokana na vipengele vya katiba ibara ya 84(7)(a)(b)(c)(d)(e)(f)(g)na (h) litapelekwa bungeni kuamuliwa

4,Naibu Spika atakalia kiti wakati wa mjadala na Spika anaruhusiwa kujitetea wakati wa mjadala

5,Spika ataondolewa ikiwa kura zimepigwa na theluthi mbili ya wabunge wote watakuwa wamekubali kusudio la kumuondoa Spika madarakani na kura zitakuwa za siri

6,Spika anayejiuzulu atatoa maelezo ya kujiuzulu nafasi yake bungeni kabla ya hoja ya kumuondoa madarakani
 
Utaratibu upo sehemu nyingi sana kwenye Katiba! Soma hiyo

B51353B2-9AA6-481C-B279-307045F66601.jpeg
 
Utaratibu upo sehemu nyingi sana kwenye Katiba! Soma hiyo
Taratibu za kumuondoa Spika madarakani

1,Mbunge yeyote anayetaka kumuondoa Spika madarakani atawasilisha hoja kwa ibara 84(7) (d) ya katiba atawasilisha kusudio hilo na atatoa sababu

2,Baada ya kupokea taarifa hiyo ,katibu ataipelekeka taarifa hiyo kwenye kamati ya Haki , Maadili na madaraka ya Bunge kujadiliwa

3,Endapo kamati ya Haki,maadili na madaraka ya bunge wataridhika na tuhuma kutokana na vipengele vya katiba ibara ya 84(7)(a)(b)(c)(d)(e)(f)(g)na (h) litapelekwa bungeni kuamuliwa

4,Naibu Spika atakalia kiti wakati wa mjadala na Spika anaruhusiwa kujitetea wakati wa mjadala

5,Spika ataondolewa ikiwa kura zimepigwa na theluthi mbili ya wabunge wote watakuwa wamekubali kusudio la kumuondoa Spika madarakani na kura zitakuwa za siri

6,Spika anayejiuzulu atatoa maelezo ya kujiuzulu nafasi yake bungeni kabla ya hoja ya kumuondoa madarakaniView attachment 2069485View attachment 2069485
 
Taratibu za kumuondoa Spika madarakani

1,Mbunge yeyote anayetaka kumuondoa Spika madarakani atawasilisha hoja kwa ibara 84(7) (d) ya katiba atawasilisha kusudio hilo na atatoa sababu

2,Baada ya kupokea taarifa hiyo ,katibu ataipelekeka taarifa hiyo kwenye kamati ya Haki , Maadili na madaraka ya Bunge kujadiliwa

3,Endapo kamati ya Haki,maadili na madaraka ya bunge wataridhika na tuhuma kutokana na vipengele vya katiba ibara ya 84(7)(a)(b)(c)(d)(e)(f)(g)na (h) litapelekwa bungeni kuamuliwa

4,Naibu Spika atakalia kiti wakati wa mjadala na Spika anaruhusiwa kujitetea wakati wa mjadala

5,Spika ataondolewa ikiwa kura zimepigwa na theluthi mbili ya wabunge wote watakuwa wamekubali kusudio la kumuondoa Spika madarakani na kura zitakuwa za siri

6,Spika anayejiuzulu atatoa maelezo ya kujiuzulu nafasi yake bungeni kabla ya hoja ya kumuondoa madarakani

Ungekuwa umeuweka na wa kumwondoa Tanzania 1, ungekuwa umetenda haki kweri kweri.

Hii ngoma mbona bado mbichi sana?
 
Back
Top Bottom