Utaratibu wa kumpata na kumwondoa Rais pamoja na kumwajibisha akiwa madarakani ufanyike

Toka serikali hii umemsikia nani kabeba fedha kwenye viroba???? usilete mifano ya mwaka 2015 kurudi nyuma tunazungumzia serikali hii ambayo muda wake ni mpaka 2020 wakichukuliwa hatua mnakuja hapa na Id fake kuja kupinga na kusema wameonewa tukubali tukatae wapga deal mko na hali mbaya sana mmebanwa kila kona na swala la Gesi limeshakwisha na Dangote mwenyewe kasema siku ile kuwa hakuna tatizo na analeta trucks 600
Amelaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu na amfanyanye mwanadamu kuwa kinga yake.Nadhani wanaccm laana hii inayosemwa na maandiko matakatifu ndo imewavuruga akili.Mtu unakataa mfumo imara wa uwajibikaji uliotaka kuwekwa kupitia katiba mpya,unaweka imani katika utashi wa mtu,mtu anayeweza badirika any time,mtu anayeweza kufa any time,mtu ambaye muda wake kisheria wa kukaa madarakani hauzidi miaka 10,yaani sijui kwa nini wakati mwingine najikuta tu nawachukia wanaccm automatic?
 
Maendeleo na change uletwa na watu si chama ndo maana umeona ni ccm toka uhuru mpaka leo lakini sasa toka 2015 kuna wanaccm wanatamani kukimbilia Chadema
Exposure ndiyo tatizo lako,Mimi nipo tayari kukulipia nauli uende popote unapotaka hapa duniani ili ubongo ufunguke,nchi zote za ulimwengu wa kwanza zinabadiri vyama every time,wewe na elimu yako ya kata unasema chama hakina impact kwenye marndeleo yetu sasa if that is the case nini kinawafanya ccm wang'ang'anie madarakani? Kudumaza nchi yetu?poor you
 
Any fool can criticize, complain, and condemn—and most fools do. But it takes character and self-control to be understanding

hatuwezi kuigeuza nchi yetu kichaka cha wapiga deal hata siku moja mlikuwa mmeshatufikisha kubaya ni ukweli usiofichika kuwa watanzania wengi maisha yenu mlikuwa mnayaendesha kwa fedha haramu na yalikuwa ni maisha ya House of Cards ambayo si Stable wapiga deal walikuwa wanasababisha inflation kubwa sana walikuwa wanasababisha mpaka interest rates kufikia 21.42% kiwango cha juu kabisa kuwai kutokea kwa nchi ambayo hakuna tatizo lolote na infalation ilifikia 5.6% ilifikia Temeke nyumba ambayo uwezi kuishi sana sana utaivnja tu yani ni kiwanja tu walikuwa wanauza milion 500 kweli?? na wanunuzi wanapigana vikumbo kununua

vyumba mpaka Tabata unalipa rent kwa dola kweli na watu wala awalalamiki na hiyo yote kwa sababu milikuwa mnazo ela za kulipa leo ukienda Canada ukawekeza kiwango cha kuanzia dola 100,000 tu ukiomba Permanent residency wanakupa lakini eti Tanzania eti dola laki moja mtu kampangishia kimwana na hyo ni kodi ya mwaka mikocheni kweli???

Kila mwaka ada za watoto zinapanda mtu analipa milion 3 kwa mwaka mtoto anasoma shule ya msingi uwezi kuona hatari kwa vile unayo ela ya kulipa sasa mashule hayo ya ada milion 3 yakkosa wanafunzi kwa sbabu watu awana ela ya kulipa watashusha wenyewe ada wanasema thamani ya kitu au bidhaa uamuliwa na nguvu ya soko
Watanzania tulikuwa tumefikia nchi yetu kuipeleka kubaya tofauti yetu na Zimbabwe ambapo mtu ananunia fungu la dagaa kwa sh 10000 likuwa ni zimbabwe kuna vikwazo vya uchumi lakini sisi hatuna na ndo tulikuwa tunakwenda huko value of money ilikuwa inakwenda kupotea kabisa
Well said mkuu...
But this should not come at the price of our freedom.
 
Amelaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu na amfanyanye mwanadamu kuwa kinga yake.Nadhani wanaccm laana hii inayosemwa na maandiko matakatifu ndo imewavuruga akili.Mtu unakataa mfumo imara wa uwajibikaji uliotaka kuwekwa kupitia katiba mpya,unaweka imani katika utashi wa mtu,mtu anayeweza badirika any time,mtu anayeweza kufa any time,mtu ambaye muda wake kisheria wa kukaa madarakani hauzidi miaka 10,yaani sijui kwa nini wakati mwingine najikuta tu nawachukia wanaccm automatic?
Matthew 5:43-48 “ You have heard that it was said, ‘You shall love your neighbor and hate your enemy.’ But I say to you, Love your enemies and pray for those who persecute you, so that you may be sons of your Father who is in heaven. For he makes his sun rise on the evil and on the good, and sends rain on the just and on the unjust. For if you love those who love you, what reward do you have? Do not even the tax collectors do the same? And if you greet only your brothers, what more are you doing than others? Do not even the Gentiles do the same? You therefore must be perfect, as your heavenly Father is perfect
 
Exposure ndiyo tatizo lako,Mimi nipo tayari kukulipia nauli uende popote unapotaka hapa duniani ili ubongo ufunguke,nchi zote za ulimwengu wa kwanza zinabadiri vyama every time,wewe na elimu yako ya kata unasema chama hakina impact kwenye marndeleo yetu sasa if that is the case nini kinawafanya ccm wang'ang'anie madarakani? Kudumaza nchi yetu?poor you
if you don't vote, you get the government you deserve, and if you do, you never get the results you expected aiwezekani mnajaza saver kwa kulalamika na kuonyesha emotions zenu siku ya kupiga kura mnajifungia na wake zenu chumbani mnafyatua watoto
 
There are two ways to be fooled. One is to believe what isn't true; the other is to refuse to believe what is true. sasa angalia sifa hizo anazo nani kati ya mimi au wewe


I live the way ur because, they is a no way a man can convince a monkey that honey is sweater than bananas
 
tatizo lipo kwetu sisi..ni kama vile tumelaniwa!!..leo tunasema hivi kesho utasikia tunamsifia kijinga.. watz vigeugeu..
Watz kuishi nao sawa na kuishi na wagonjwa,


Tumebaki tunafurahia pale nchi inapopata majanga

Dangote tulipiga sana kelele

Sasa hivi tunafurahia ujio wa zika
 
samahan wanajf,naomba 2saidianen kidogo kufanya kautaft haka,maswal ya dodoso n haya(1)kwa nn wanawake wengi waonafanya kazi ktk idara ya afya kuolewa n nadra sana na kama ataolewa basi ataolewa na mfanyakaz mwenzie au ataolewa na mwanaume kawaida sana zaid2 huzalia nyumban? (2)kwa nn wanawake wanaofanyia kaz idara ya elimu huolewa kwa kasi kwa idara zote na ukimkuta hajaolewa n tabia zake 2 haziuliki?(3)kwa nn wanawake wa idara ya ulinz nadra sana kuolewa kuliko idara zote? twende kwa mjadala tafadhar!
 
Any fool can criticize, complain, and condemn—and most fools do. But it takes character and self-control to be understanding

hatuwezi kuigeuza nchi yetu kichaka cha wapiga deal hata siku moja mlikuwa mmeshatufikisha kubaya ni ukweli usiofichika kuwa watanzania wengi maisha yenu mlikuwa mnayaendesha kwa fedha haramu na yalikuwa ni maisha ya House of Cards ambayo si Stable wapiga deal walikuwa wanasababisha inflation kubwa sana walikuwa wanasababisha mpaka interest rates kufikia 21.42% kiwango cha juu kabisa kuwai kutokea kwa nchi ambayo hakuna tatizo lolote na infalation ilifikia 5.6% ilifikia Temeke nyumba ambayo uwezi kuishi sana sana utaivnja tu yani ni kiwanja tu walikuwa wanauza milion 500 kweli?? na wanunuzi wanapigana vikumbo kununua

vyumba mpaka Tabata unalipa rent kwa dola kweli na watu wala awalalamiki na hiyo yote kwa sababu milikuwa mnazo ela za kulipa leo ukienda Canada ukawekeza kiwango cha kuanzia dola 100,000 tu ukiomba Permanent residency wanakupa lakini eti Tanzania eti dola laki moja mtu kampangishia kimwana na hyo ni kodi ya mwaka mikocheni kweli???

Kila mwaka ada za watoto zinapanda mtu analipa milion 3 kwa mwaka mtoto anasoma shule ya msingi uwezi kuona hatari kwa vile unayo ela ya kulipa sasa mashule hayo ya ada milion 3 yakkosa wanafunzi kwa sbabu watu awana ela ya kulipa watashusha wenyewe ada wanasema thamani ya kitu au bidhaa uamuliwa na nguvu ya soko
Watanzania tulikuwa tumefikia nchi yetu kuipeleka kubaya tofauti yetu na Zimbabwe ambapo mtu ananunia fungu la dagaa kwa sh 10000 likuwa ni zimbabwe kuna vikwazo vya uchumi lakini sisi hatuna na ndo tulikuwa tunakwenda huko value of money ilikuwa inakwenda kupotea kabisa
Hivi unaongelea wa-Tanzania wangapi waliokuwa au wana uwezo huo!
 
Rais hapatikani kwa bahati mbaya, hupitia mchujo ktk chama chake, ktk tume ya uchaguzi na hatimaye ktk box la kura kwa wananchi.

Mimi si mtaalamu wa sheria, ni mbumbumbu ktk hii field ya sheria, ninachofanya hapa ni kuchokoza, wenye kujua wahamaki, wajadili hivyo lengo ni kuibua mjadala.

Utaratibu wa kumpata mgombea urais na kumpata rais kwa ujumla wake uko vibaya sana, umejaa mapungufu mengi. na hata mfumo wa kumwajibisha rais umekuwa na kasoro nyingi sana pia.

Wananchi Waliomchagua rais laziwa wawe na uwezo wa kumtoa rais pale anaposigina katiba au anaposhindwa kuongoza vyema.

Athari ya kumpata rais ambaye hakuandaliwa vyema ni kubwa, na madhara ya kuendelea kumwacha madarakani rais anayevuruga nchi ni kubwa pia.

Ufanyike mjadala wa kikatiba, rais apatikane akiwa amepimwa vyema uadilifu wake, maadili yake, historia yake, busara na uvumilivu wa kisiasa na hata mwenendo wa familia yake.

Nafasi ya urais sio by chance, eti wawili waliostahili wakagombana, huyu watatu akapita kwa udhaifu huo.

Rais akiwa madarakani pia aondolewe hata kwa petition tu na ikibidi kwa kuwa tulimpima kwa busara hapo mwanzoni, awe tayari kujiuzulu pale wengi wanapolalamikia utawala wake.

Unahitajika mjadala wa kikatiba, hapo juu nimetahadharisha kuwa mimi ni mbumbumbu wa sheria, hapa nachokoza ili wajuzi wa sheria wahamaki, wajadili na hatimaye kuwe na mjadala wa kikatiba.
Kweli ni mbumbumbu. Binafsi sina cha kuchangia kwa mbumbumbu.
 
Rais hapatikani kwa bahati mbaya, hupitia mchujo ktk chama chake, ktk tume ya uchaguzi na hatimaye ktk box la kura kwa wananchi.

Mimi si mtaalamu wa sheria, ni mbumbumbu ktk hii field ya sheria, ninachofanya hapa ni kuchokoza, wenye kujua wahamaki, wajadili hivyo lengo ni kuibua mjadala.

Utaratibu wa kumpata mgombea urais na kumpata rais kwa ujumla wake uko vibaya sana, umejaa mapungufu mengi. na hata mfumo wa kumwajibisha rais umekuwa na kasoro nyingi sana pia.

Wananchi Waliomchagua rais laziwa wawe na uwezo wa kumtoa rais pale anaposigina katiba au anaposhindwa kuongoza vyema.

Athari ya kumpata rais ambaye hakuandaliwa vyema ni kubwa, na madhara ya kuendelea kumwacha madarakani rais anayevuruga nchi ni kubwa pia.

Ufanyike mjadala wa kikatiba, rais apatikane akiwa amepimwa vyema uadilifu wake, maadili yake, historia yake, busara na uvumilivu wa kisiasa na hata mwenendo wa familia yake.

Nafasi ya urais sio by chance, eti wawili waliostahili wakagombana, huyu watatu akapita kwa udhaifu huo.

Rais akiwa madarakani pia aondolewe hata kwa petition tu na ikibidi kwa kuwa tulimpima kwa busara hapo mwanzoni, awe tayari kujiuzulu pale wengi wanapolalamikia utawala wake.

Unahitajika mjadala wa kikatiba, hapo juu nimetahadharisha kuwa mimi ni mbumbumbu wa sheria, hapa nachokoza ili wajuzi wa sheria wahamaki, wajadili na hatimaye kuwe na mjadala wa kikatiba.
ujinga hatunaga toa pumba hapa
 
Sawa nitakujibu maswali ya kuitaji taaluma maswali ya siasa naomba ukumuulize mwenyekiti wako wa chama na ni tatizo kubwa sana watanzania kuamini kuwa maendeleo yao yataletwa na chama utadhani icho chama watakuja na machine ya kuprint dola pale BOT na kuzigawa kwa watu wanashindwa kujua kuwa chama ni jina tu ndo maana kinakwenda kupata usajiri wanaosababisha kuleta maendleo au kuto kuleta maendeleo ni watu na bahati mbaya watu hao hao wa ccm mnaosema ndo wamewapa umasikini wakija kwenye vyama vyenu mnawakaribisha na kuwapa vyeo na heshima kubwa sana kuliko hata wale waliokesha na kupigana kwa ajili ya chama


Ok nakujibu maswali yako Randomry kwanza unatakiwa kujua WB na IMF ndio wasimamizi na washauri wakuu juu ya mambo ya kiuchumi duniani na kazi ya centrol banks zote duniani ni kusimamia Monetary policy na kazi zingine za Centrol banks ni kucontro the supply of money,kusimamia na kudhibiti mfumuko wa bei na interest rates pia BOT ndio mlezi wa bank zote zilizopo ndani ya mipaka ya nchi

Sasa swala la kuficha pesa si kweli sidhani kama centro bank wanaweza kuficha fedha ila kilichotokea ni ile fedha iliyokuwa inazunguka mitaani ambayo nyingi ilikuwa ni fedha ya serikali ila walikuwa nayo watu binafsi tena walikuwa wanatumia kwa matumizi binafsi kama ilikuwa bajet 80% ni matumizi na 20% ndio inakwenda kwenye matumizi sasa ni 40% au 50% matumizi na 50% inakwenda kwenye maendeleo sasa zile fedha mlizokuwa mnalipana miposho,mnajikopesha,mnaiba,mnajipangia masemina na warsha hazipo tena sasa mnaishi kwa kipto chenu halali


Sababu ya Bank kuu kuchukua fedha zake kwanza si kosa kwa bank kuu kuchukua fedha zake na ndo maana ujaona banks wakilalamka pili Tanzania kuna banks zaid ya 40 na financial institutions zaid ya 20 sasa mbona uchumi wa Tanzania na mfumuko wa mabanks na hizi financial institutions auendani na hali halisi ya uchumi? Tanzania tunaweza kuwa nchi ya tatu au ya nne africa kuwa na mabank mengi sasa unapoona mabanks mengi bhasi ujue fedha hipo mtaani kwani hakuna bank inayofanya kazi bila kuwa na wateja so kulikuwa na mifedha mingi mitaani kitu ambacho si kizuri kwa uchumi unaoendelea kwa mifedha kuwa ming mtaani kumbuka kz moja ya BOT ni control the supply of money

Banks nying zimekopesha sana fedha lakini return imekuwa ni ndogo sana kwa sababu waliokopa mifedha hyo wamewekeza kwenye vtu ambazo ni kama vimepigwa ganzi na hii Transition ya kiuchumi kwani wakopaji hawa wamewekeza kwenye Hotels,usafirishaji na mafuta na bahati mbaya sector hizi kwanza azichukui wafanyakazi wengi na pia ni sector ambazo si strong

1 Hotel wamajenga mahotel kibao now yanakosa wapangaji so return za bank zinakuwa hakuna na pia ni sector ambayo inaitaji watu wachache kwa ajira

2 Ushafirishaji ni sector ambayo inakwenda mdogo mdogo sana kutokana na mizigo kupungua bandarini na pia ukijiuliza uwekezaji wa trucks 100 ambao ni fedha nying unaitaji watu 200 tu wa kuajiri yani dereva na utingo tu

3 Mafuta sector hii ni kama imekumbwa na jinamizi kwa kushuka sana kwa bei ya mafuta duniani na pia ni sector inayoitaji watu wachache pia ktk ajira leo mmekuwa mkishuhudia masheli yakipingwa minada na kulikuwa na masheli yamefumuka Tanzania mpaka ulikuwa unajiuliza mafuta haya wanayatoa mafia au zanzbar

Sasa bank walikopesha watu katika sector hizo na kumbuka uwekezaji wa sector hizo ni wa fedha nying sana na unatoa ajira chache sana kwa hyo uwezi kuona inpact yake ktk soko la ajira

Uchumi wa Tanzania umekuwa ukikuwa kwa wastani wa 6.8% na 7.7% lakini umekuwa ukikuwa ktk sector ambazo si rafiki kwa ajira sector hzo ni Usafirishaji,Utalii,Madini sasa ukiangalia sector hzo zinatoa ajira ndogo sana na uwekezaji wake ni mkubwa sana ndo maana wtu wamekuwa wakiona ni uongo uchumi kukua na inpact yake mitaani tatizo ni uchumi kukuwa ktk sector zisizo na tija kwa raia


Sector pekee yenye kutoa ajira kwa watu ni sector ya viwanda na sector ya kilimo na ndio serikali inataka twende kwenye sector hzo leo mtakuwa mashaidi ukiangalia watu wanavyoingia asubuhi kweda kufanya kazi ni kama kijiji sasa tukiwa na viwanda ndio sasa watu wataweza kuhisi kweli uchumi unakuwa na maendeleo yatapatikana pia nchi zote tajiri zinaitwaga nchi za viwanda

Maendeleo yanaletwa na watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya matumizi pia na kuheshimu kile kilicho chako na kisicho chako maendeleo hayawezi patikana kwa kupiga kelele au siasa

Ugiriki ilikuwa ni nchi yenye maendeleo lakini kutokana na wagiriki kuacha kufanya kazi na kushindwa kulipa kodi na wao kujiona ni mabigwa wa fani ya meli na kuona wengine hawawezi mambo ya meli zaid yao na kujiona wao ni kama waisrael wa Ulaya walijikuta Ugiriki imefilisika kabisaaa na ikafikia kipindi mabank yakafungwa kabisa kwa kukosa fedha nchi ikashindwa kulipa madeni na ikatangazwa imefilisika sasa kilichotokea wakapewa masharti ya serikali kubana matumizi na kupunguza wafanyakazi wake na ikafikia hatua watu wanakwenda kuchukua fedha kwenye ATM mnapanga foreni kama mnakwenda kupiga kura na zilisetiwa kutoa euro 300 kwa siku yani account yako ina euro 1,000,000 lakini ni euro 300 tu ndo unaruhusiwa kuchukua

Izo you are smart man, I enjoy reading your comments and you have a point up to a point, lakini kwa hili unajichanganya, I was patiently waiting for your answers, on the real issues raised by your compatriot on this debate...politics aside..

Somehow, i can put it, It is probably purely luck of exposure and an educated guess on your answers, but unfortunately you are lucking both on issues of economy, though through learning and open mind you will learn and understand...

Lesson 1.
First I will start with simple question, if the economy grows by 6-7% as you put it, and if the inflation at the same time is at 6%, what is the real economic growth ?, trust me china, the us and other countries will be envy of us if our economy really grow by 7%, we would be in the news...but it is a dummy thrown in a pram..

Lesson 2
What really caused the growth of our economy in tz, based on your formula ? Despite its flaws particularly in developing countries like ourself. our economy grow mainly from the export of highly valued industry goods, i.e. From minings sectors , you remember that formula you throw at us, purely by net export, i.e. Exporting more of gold, etc by international companies, with little inputs to Tanzania economy only by name of a country tagged alongside shipments, the money don't belong to us, exchanged in New York stock exchange and else where, go and revisit it again, we don't have a centre or body or institute which captures the consumer spending, and this is one of the most important derivative to come to conclusion that, the economy is really growing.. i.e. The power of me and you to spend..

But in our case, i.e. Tanzania the real economy growth which would affect me and you, and The economy of any developing countries, 50% of the growth is attributed, derived, sustained by the inputs from the SMEs, i.e. The creation of multi Self employment jobs, again this statistics is according to the recent world bank report, and others released from the individual european countries, therefore you name it, contributing hugely in areas such as employments and tax. SMEs are the real deal and not big industries as you put it, we would have grown big in 80s based on your assessment, although these industries have a role to play, don't get me wrong dismissing that fact, I'm only trying to emphasise the importance of the small scale industries create a lot of wealth for the mass, not compared to PAYEs jobs if you understand where I'm heading with this idea..employment is the part of the process and SMEs is the process, if you can decipher that statements, in other words creativity and innovation is the deal, the government should see that ...

Lesson 3
You dismissively saying transport sectors provide little direct employments, again you are totally missing the point, I had a lot of discussion on this, go and revisit a thread, I started that's the only you will never miss it, I guarantee you, you will learn a lot..

Lesson 4

Whose money is BOT money? It is me and you, again don't you think a decision of taking the money off the commercial banks, was a right decision or was taken in hasty? I personally believe the banks should have been penalised for their mischief, and the government money i.e. Our money should have been invested on these banks, and become we become partners rather than the banks left to survive and run the ground, at a point, it will be economically too late for the BOT intervention, by pumping free money, case in hand twiga bank bail out..yaani kumpa mfu drip! Does that make sense,??

And in addition to that effect of that decision, you are only exposing our banks to the foreign merchant banks to take over our banks, and that's should be a concern to us... banking is the streamline of the functioning economy, in any economy, it can't be detected by foreign regulations, the BOT role will be very limited at that time, it will be too late then ..

More to write... sorry limited time I have to go

But I enjoyed reading your comments...
 
Back
Top Bottom