Naombeni utaratibu wa Warangi, Wabondei, Wasambaa, Wachaga au Makabila mengine yanayo fanania kwa anaye fahamu kuhusu KUMKOMBOA mtoto aliye zaliwa na baba mwingine. Mfano nimeoa mke ambaye ana mtoto 1 na hajawahi hudumiwa na baba yake hadi umauti unamkuta baba yake, ila Wazazi wa Marehemu wako hai sasa nahitaji wamkomboe binti yao ili awe rasmi kwao.
Sasa utaratibu ukoje na huwa wanatoa nini na nini kumkomboa huyo mtoto zaidi sana ukizingatia mazingira ya kwao au baba wa mtoto au mama wa mtoto.
Sasa utaratibu ukoje na huwa wanatoa nini na nini kumkomboa huyo mtoto zaidi sana ukizingatia mazingira ya kwao au baba wa mtoto au mama wa mtoto.