Mkuu uko sawa mama alishasema mwaka jana kuwa watatumia utaratibu ule ule ulio agizwa na magogoni mwaka huu. Na tamko hilo alilitoa kabla ya tathmini yeyote kufanyika baada ya zoezi la udahili 2017/18. Maumivu yataendelea tu.Utaratibu unapangwa ikulu hao TCU wapo kama sanamu la michelini. Jamaa wa magogoni kadri atakavyojisikia basi ndivyo itakavyokuwa.