GreatMkubwa
Member
- Jun 25, 2012
- 99
- 57
Habari za leo wadau. Naomba wenye uelewa wa namna ambavyo naweza kulalamika pale ambapo askari wa barabarani kanilazimisha kuandika fine bila ya mimi kuridhia kosa langu.
Nimewahi kukutana na mikasa mingi ya askari barabarani mpaka inafikia mahali nahisi labda kuna mambo siyafahamu au basi tuu ni ubabe wa askari.
1. Leo asubuhi sana majira ya saa kumi na mbili kasorobo nimesimamishwa na askari kwa kosa la kuovertake mahali ambapo sio salama. Gari ziliongozana nyingi na alisimamisha gari langu ambapo haikuwa gari sahihi, akaniambia umeovateki pale, nikamwambia wapi? akaanza kufoka na kudai ninamchalenge na ameona nikiovateki, mwenzie akamwambia mwandikie huyo akalalamike popote aende hata mahakamani.
enewey akaandika, nikapokea na kuendelea na safari zangu.
2. Kuna siku pia askari alishanisimamisha maeneo yenye taa za barabarani akidai nimepita kwenye red light nikamwambia hapana, iliwaka wakati namalizia, ofcoz ilikuja njano nikiwa katikati ya kumaliza eneo la taa, tulibishana mda mrefu badae akaniacha niende.
3. Zipo habari za tochi zinapigwa na unaonyeshwa picha mbele huko, sometimes mpigaji kajificha mahali hamna 50kmph ya kuanzia ila ipo ya kumalizia
Yote juu ya yote naomba mwenye uelewa wa ziada katika haya mambo. Nina experience ya kutosha katika udereva ila yapo mambo yananitatiza everyday.
1. Nafunguaje kesi?
2. Ushahidi wa kuovertake unapatikanaje?
3. Je nitapata haki yangu?
Nimewahi kukutana na mikasa mingi ya askari barabarani mpaka inafikia mahali nahisi labda kuna mambo siyafahamu au basi tuu ni ubabe wa askari.
1. Leo asubuhi sana majira ya saa kumi na mbili kasorobo nimesimamishwa na askari kwa kosa la kuovertake mahali ambapo sio salama. Gari ziliongozana nyingi na alisimamisha gari langu ambapo haikuwa gari sahihi, akaniambia umeovateki pale, nikamwambia wapi? akaanza kufoka na kudai ninamchalenge na ameona nikiovateki, mwenzie akamwambia mwandikie huyo akalalamike popote aende hata mahakamani.
enewey akaandika, nikapokea na kuendelea na safari zangu.
2. Kuna siku pia askari alishanisimamisha maeneo yenye taa za barabarani akidai nimepita kwenye red light nikamwambia hapana, iliwaka wakati namalizia, ofcoz ilikuja njano nikiwa katikati ya kumaliza eneo la taa, tulibishana mda mrefu badae akaniacha niende.
3. Zipo habari za tochi zinapigwa na unaonyeshwa picha mbele huko, sometimes mpigaji kajificha mahali hamna 50kmph ya kuanzia ila ipo ya kumalizia
Yote juu ya yote naomba mwenye uelewa wa ziada katika haya mambo. Nina experience ya kutosha katika udereva ila yapo mambo yananitatiza everyday.
1. Nafunguaje kesi?
2. Ushahidi wa kuovertake unapatikanaje?
3. Je nitapata haki yangu?