ukiwa mwalimu mzuri hakuna hata haja ya kutangaza.. tafuta wanafunzi hata 5 wape huduma ya kueleweka wengine watakuja wenyewe...
Ila Nina wasiwasi siku sio nyingi mtaambiwa muwe na kibali ya wizara ya elimu na mlipe kodi
kweli kabisa.. Muda utaongeaWashaanza na Mabanda ya kuonyesha mpira! Watahamia ktk mabanda ya twisheni soon