Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Wana jf
Naomba ushauri wenu naomba kujua jinsi ya kuanzisha fiancial service itakayokuwa inatoa mikopo kwa watumishi wa umma tu. mwenye experience na anayejua changamoto zake anijuze, na ile software ya kutunza kumbukumbu naipataje
Naomba ushauri wenu naomba kujua jinsi ya kuanzisha fiancial service itakayokuwa inatoa mikopo kwa watumishi wa umma tu. mwenye experience na anayejua changamoto zake anijuze, na ile software ya kutunza kumbukumbu naipataje