chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 286
sheria zetu za Tanzania zinatambua aina mbili za utaratibu wa mirathi
1. utaratibu unao muhusu mtu ambaye amekufa bila kuacha wosia
2. Mtu ambaye ameacha wosia
Kwa habari ya mtu ambaye amekufa bila kuacha wosia zipo taratibu za kisheria lazima zifatwe
Hatua ya Kwanza ni pamoja na kuitisha kikao cha familia
Hatua ya pili mali,wanufaika.lazima violozenywe kwenye muktasali huo
Hatua ya tatu atateuliwa msimamizi wa mirathi na kikao hicho cha familia
Hatua ya nne yule aliyechagulia atakwenda kupeleka ule muktasali pamoja na kujaza baadhi ya fomu za mahakamani
Mahakama baada ya kupokea watatangaza tangazo Kama Kuna mtu atakuwa na pingamizi
ataliwasilisha Lakini Kama hakuna itamteua huyo
Aliyependekwezwa na kikao cha familia na kuwa msimamithi wa mirathi
1. utaratibu unao muhusu mtu ambaye amekufa bila kuacha wosia
2. Mtu ambaye ameacha wosia
Kwa habari ya mtu ambaye amekufa bila kuacha wosia zipo taratibu za kisheria lazima zifatwe
Hatua ya Kwanza ni pamoja na kuitisha kikao cha familia
Hatua ya pili mali,wanufaika.lazima violozenywe kwenye muktasali huo
Hatua ya tatu atateuliwa msimamizi wa mirathi na kikao hicho cha familia
Hatua ya nne yule aliyechagulia atakwenda kupeleka ule muktasali pamoja na kujaza baadhi ya fomu za mahakamani
Mahakama baada ya kupokea watatangaza tangazo Kama Kuna mtu atakuwa na pingamizi
ataliwasilisha Lakini Kama hakuna itamteua huyo
Aliyependekwezwa na kikao cha familia na kuwa msimamithi wa mirathi