Tupo wenzio huku NZEGA tumefungua muda umepita na hatujalipwa na walituambia njooni tarehe kadhaa mchukue pesa zenu lakini kila siku ni ngojela tu mpaka unapata mawazo yasiyo na majibu,sijui pesa hizo tunasaidiwa au ni zetu kweli?!Nenda kqtika tawi lako haraka kafungue madai, ukiwa na vielelezo ,mafao ni ndani ya wiki mbili hadi mwezi mmoja, Mimi mwezi ulioisha nimechukua tawi la temeke ,madai nilifungua mwezi wa 6 mwanzoni,nimepata mwezi wa 7 mwanzoni
Huo waraka umekuja kukiwa na watu wengine wameshafungua madai na kupewa ahadi ya kwenda kuchukua chaque lakini nao bado wanazungushwawaraka tuliouona unasema ukiacha kazi unakaa miezi 6 ndo unaweza kufungua madai yako.wenyewe wanasema kimya kimya ili watu wasije wakapanic ila ukweli ndo huo waraka umetolewa jana
Nilienda Pale oposite na mliman city wakanambie nirud tarehe tatu october.walipokea copy ua kitambulisho cha nssf na copy ya barua ya kuacha kazi hyo ilikuwa 29 August mkuu kama hautaki unaacha.
kiongozi vp ulitia timu leo? feedback ikoje?29 july,just a slight mistake
Unachoongea ni kweli kabisa, inabidi usubiri miezi 6.waraka tuliouona unasema ukiacha kazi unakaa miezi 6 ndo unaweza kufungua madai yako.wenyewe wanasema kimya kimya ili watu wasije wakapanic ila ukweli ndo huo waraka umetolewa jana
Mi naona kama hakuna mwenye uhakika; kila mmoja ana jibu lakeNilikuwa nao juzi wakitoa maelezo wanasema fao la lujitoa halipo isipokuwa wanaandaa fao la kutokuwa na ajira
Nilienda aseee,wamehamia ubungo plaza tumefika wengi pale ghorofa ya sita tukskuta mlinzi anasema tusubiri maelekezo.Yeye mwenyewe hajui kinachoendelea tukaingia ndani ndo wakasema ofc haijaanza kazi labda had alhamis.Mara yule mlinzi akaja anadai tumekiuka utaratibu,moto ulitaka uwake,baada ya wale walokuwa ndani kutusihi ikabd tuondoke.kiongozi vp ulitia timu leo? feedback ikoje?
Nilienda aseee,wamehamia ubungo plaza tumefika wengi pale ghorofa ya sita tukskuta mlinzi anasema tusubiri maelekezo.Yeye mwenyewe hajui kinachoendelea tukaingia ndani ndo wakasema ofc haijaanza kazi labda had alhamis.Mara yule mlinzi akaja anadai tumekiuka utaratibu,moto ulitaka uwake,baada ya wale walokuwa ndani kutusihi ikabd tuondoke.
Nami nimesikia miezi 6 toka siku ya mkataba wa kazi kuisha. Sijui kama ni kweli sijaenda tena kufatilia baada ya longolongo nyinginsssf ukiacha kazj leo.. unaambiwa usubiri miezi sita ipite ndipo uombe mafao yako...
na hapo ndani ya miezi sita wana uhakika fao la kujitoa litakuwa limeshafutwa kabisa na linakuja fao la kukosa ajiraaa...
inshort nssf nao hawatoi ilo fao siku hizi ila wanatumia tafsida ya miezi sita ili wakuchinjie baharini kimya kimya bila makelele
Mkuu hebu ainisha hivyo vielelezo kwa faida ya wengi...Nenda kqtika tawi lako haraka kafungue madai, ukiwa na vielelezo ,mafao ni ndani ya wiki mbili hadi mwezi mmoja, Mimi mwezi ulioisha nimechukua tawi la temeke ,madai nilifungua mwezi wa 6 mwanzoni,nimepata mwezi wa 7 mwanzoni
Bwana fao la kujitoa mimi nina mdogo wangu alikuwa anafanyakazi ya mkataba wa miaka miwili miwili.mwisho wa mkataba akaenda woter front akaambiwa hawatoi mafao kwa sasa kuna mchakato unaendelea kupata maoni ukiisha watatoka jibu. Akaamua kwenda mako MAKUU Benjamin tower kule wakasema AKAE miezi sita kisha aende akafungue madai yake.Wakuu poleni kwa majukumu ya hapa na pale katika kujikwamua kiuchumi.
Tafadhali kwa anayefahamu, naomba kujua utaratibu ukoje kwa sasa ili kupata fao la kujitoa NSSF!
Je ni unaweza kuomba kuchukua akiba yako baada tu ya kazi kuisha kwa wenye mikataba ya muda kadhaa?
Kwa hiyo ameshaenda au miezi sita bado?B
Bwana fao la kujitoa mimi nina mdogo wangu alikuwa anafanyakazi ya mkataba wa miaka miwili miwili.mwisho wa mkataba akaenda woter front akaambiwa hawatoi mafao kwa sasa kuna mchakato unaendelea kupata maoni ukiisha watatoka jibu. Akaamua kwenda mako MAKUU Benjamin tower kule wakasema AKAE miezi sita kisha aende akafungue madai yake.
Miez sita baada ya kuacha au kuachishwa kazi.Kwa hiyo ameshaenda au miezi sita bado?