Utaratibu wa chuo cha Kampala International Tanzania wa kuwafukuza chuo (disco) wanafunzi ambao hawajakamilisha ada

melekebu

Member
Sep 30, 2018
7
3
Wakuu poleni na kazi,
nimeshtushwa pale nlipowasiliana na ndugu yangu wa siku nyingi ambaye yeye anasoma chuo cha kimataifa cha kampala baada ya kunipa taarifa kua alichelewa kulipa Ada na ikamgharimu kuingia kwenye chumba cha mtihani bila kukamilisha Ada husika kwa ajili ya kufanya huo mtihani,

Lengo lake lilikua ni kufanya na baada ya wiki mbili kukamilisha iyo pesa, Sasa kaniomba ushahuri sijui afanyeje au aanzie wapi, nimeshan'gaa zaidi pale nlipoona hayo majina yalivyo mengi watu wamepewa suspension na kufutiwa matokeo na wengine discontinue inasikitisha Sana.,,, nimeambatanisha karatasi baadhi ya izo picha.

JE HII NI HAKI? AU KAMPALA INAWAONEA HAWA WATOTO, NAOMBENI MAWAZO YENU.
20181001_022756.jpeg

20181001_022850.jpeg
 
Wakuu poleni na kazi,
nimeshtushwa pale nlipowasiliana na ndugu yangu wa siku nyingi ambaye yeye anasoma chuo cha kimataifa cha kampala baada ya kunipa taarifa kua alichelewa kulipa Ada na ikamgharimu kuingia kwenye chumba cha mtihani bila kukamilisha Ada husika kwa ajili ya kufanya huo mtihani,

Lengo lake lilikua ni kufanya na baada ya wiki mbili kukamilisha iyo pesa, Sasa kaniomba ushahuri sijui afanyeje au aanzie wapi, nimeshan'gaa zaidi pale nlipoona hayo majina yalivyo mengi watu wamepewa suspension na kufutiwa matokeo na wengine discontinue inasikitisha Sana.,,, nimeambatanisha karatasi baadhi ya izo picha.

JE HII NI HAKI? AU KAMPALA INAWAONEA HAWA WATOTO, NAOMBENI MAWAZO YENU.
View attachment 882862
View attachment 882863
WAPAMBANE NA HALIZAO WALIHISI WALIMU WANALIPWA NA MAWE... EMBU JIONGEZENI BANA WE UNAFIKIRI SERIKALI KUFWATA WANAFUNZI WALIOMALIZA NA KUANZA KAZI WARUDISHE MADENI YAOO SEMBUSE HIKI CHUO LIPENI TU ADA HUKU HAMNA MSAADA
 
Tatizo wanafunzi sijui huwa mnafikiri kwa kutumia nini.

Tambua kua, kuingia kwenye mtihani kwa vyuo vingi bila kukamilisha ada na kusajiliwa katika semester husika ni kosa linalokufanya ufukuzwe chuo kwa kuwa discontinued kwasababu unakuwa umevunja sheria za mtihani za chuo husika.

Kwa maana hiyo kila chuo kina sheria za mtihani zilizopitishwa na TCU na zinakiguide chuo, tafta kwanza hizo sheria za chuo chako zinasemaje kuhusu kulipa ada na kufanya mtihani, kabla ya kuja kutaka huruma humu.

NECTA wenyewe huwezi Fanya mtihani wa F4 au F6 bila kulipa na kusajiliwa, sembuse chuo.
 
KIU wala hawajakosea, nakumbuka lectures wangu wa computer science hapo walikua hawataki ubabaishaji
Ukipata supp tatu nyumbabi sembuse hilo la ada
 
Kulipa ada hilo halina mjadala..wewe fikiria chuo kitajiendeshaje bila wanafunzi kulipa ada??

Ila pia naona kosa hilohilo wengine wamepewa warning..sasa sijui hii iko vipi??
 
Ulitakaje sasa unaambiwa mapema usipolipa ada adhabu yake ni hii sasa ulitaka wakane makubaliano ambayo ww uliyakubali pindi mdogo wako anaanza chuo pambaneni na hali zenu.subiri nimwite mhudumu alete moja moto hapa.
 
Back
Top Bottom