Wakuu poleni na kazi,
nimeshtushwa pale nlipowasiliana na ndugu yangu wa siku nyingi ambaye yeye anasoma chuo cha kimataifa cha kampala baada ya kunipa taarifa kua alichelewa kulipa Ada na ikamgharimu kuingia kwenye chumba cha mtihani bila kukamilisha Ada husika kwa ajili ya kufanya huo mtihani,
Lengo lake lilikua ni kufanya na baada ya wiki mbili kukamilisha iyo pesa, Sasa kaniomba ushahuri sijui afanyeje au aanzie wapi, nimeshan'gaa zaidi pale nlipoona hayo majina yalivyo mengi watu wamepewa suspension na kufutiwa matokeo na wengine discontinue inasikitisha Sana.,,, nimeambatanisha karatasi baadhi ya izo picha.
JE HII NI HAKI? AU KAMPALA INAWAONEA HAWA WATOTO, NAOMBENI MAWAZO YENU.
nimeshtushwa pale nlipowasiliana na ndugu yangu wa siku nyingi ambaye yeye anasoma chuo cha kimataifa cha kampala baada ya kunipa taarifa kua alichelewa kulipa Ada na ikamgharimu kuingia kwenye chumba cha mtihani bila kukamilisha Ada husika kwa ajili ya kufanya huo mtihani,
Lengo lake lilikua ni kufanya na baada ya wiki mbili kukamilisha iyo pesa, Sasa kaniomba ushahuri sijui afanyeje au aanzie wapi, nimeshan'gaa zaidi pale nlipoona hayo majina yalivyo mengi watu wamepewa suspension na kufutiwa matokeo na wengine discontinue inasikitisha Sana.,,, nimeambatanisha karatasi baadhi ya izo picha.
JE HII NI HAKI? AU KAMPALA INAWAONEA HAWA WATOTO, NAOMBENI MAWAZO YENU.