Utaratibu wa CHADEMA wa kumpigia kura za NDIYO/HAPANA mgombea pekee aliyepitishwa na Kamati Kuu ni wa "Kishamba"

Kamati Kuu inaketi na kupitia fomu ya mgombea kisha inaridhika kuwa mgombea huyo ana sifa za kuwa kiongozi na kwahiyo inampitisha.

Baadae mgombea huyo pekee aliyejitokeza katika jimbo lake baada ya wanachama wengine kutogombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupungukiwa sifa au kumuunga mkono huyo mgombea.

Kamati kuu inarudisha jina kwa hao hao wanachama wasiozidi 80 jimboni eti wakampigie kura ya Ndiyo au Hapana.

Cha ajabu uchaguzi huo wa Ndiyo au Hapana anatumwa mjumbe "mnene" wa Kamati Kuu kwenda kuusimamia kana kwamba kuna shida fulani.

Huu sasa ndio USHAMBA!

Maendeleo hayana vyama
No comment kwenye hilo mkuu, japo siwezi pita bandiko hili bila kusema chochote.

Kama kuna fedheha aliyoipata Waziri Mkuu (10) Frederick Sumaye katika harakati zake za kisiasa Basi kama hii sio namba moja basi haiwezi kutoka kwenye moja Bora, ndio moja Bora kwakua CCM pekee au kuachana na siasa ndiko kunakoweza kumnusuru.

Yaani unasimamishwa na jiwe alafu jiwe linapata kura nyingi kuliko wewe binaadam.

HUU NI UDHALILI ULIO MKUU
 
No comment kwenye hilo mkuu, japo siwezi pita bandiko hili bila kusema chochote.

Kama kuna fedheha aliyoipata Waziri Mkuu (10) Frederick Sumaye katika harakati zake za kisiasa Basi kama hii sio namba moja basi haiwezi kutoka kwenye moja Bora, ndio moja Bora kwakua CCM pekee au kuachana na siasa ndiko kunakoweza kumnusuru.

Yaani unasimamishwa na jiwe alafu jiwe linapata kura nyingi kuliko wewe binaadam.

HUU NI UDHALILI ULIO MKUU
Kwenye siasa ukiwa Na roho nyepesi usiingie.kura kuna ndio Na hapana Mkuu.
 
Wewe ulitaka iweje ili iwe u-mjini na siyo ushamba?.

Maana kwa ushamba huohuo na wewe unalalamika tu wakati hata kuchukua tu fomu uombe kuwa mgombea upimane ubavu na huyo anayekwenda kupigiwa kura ya "NDIYO" ama "HAPANA", hukufanya hivyo.....!

Very funny kuwa unaandaa malalamiko bila kutoa suluhisho la nini tangible kifanyike kwa uonavyo wewe.....
Mimi siyo kamanda ila nilijitolea tu kumchukulia fomu Tundu Lisu ya Uenyekiti taifani!
 
Kamati Kuu inaketi na kupitia fomu ya mgombea kisha inaridhika kuwa mgombea huyo ana sifa za kuwa kiongozi na kwahiyo inampitisha.

Baadae mgombea huyo pekee aliyejitokeza katika jimbo lake baada ya wanachama wengine kutogombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupungukiwa sifa au kumuunga mkono huyo mgombea.

Kamati kuu inarudisha jina kwa hao hao wanachama wasiozidi 80 jimboni eti wakampigie kura ya Ndiyo au Hapana.

Cha ajabu uchaguzi huo wa Ndiyo au Hapana anatumwa mjumbe "mnene" wa Kamati Kuu kwenda kuusimamia kana kwamba kuna shida fulani.

Huu sasa ndio USHAMBA!

Maendeleo hayana vyama
No comment kwenye hili, Ila si vyema nikapita bila kusema lolote juu ya kadhia ya Waziri Mkuu (10).

UDHALILI mkuu kabisa kuwahi kumkumba katika safari yake ya kisiasa, Mtu wa Kaliba take, wadhifa, uzoefu, na usomi wake. Kushindwa kushindana na JIWE, KIVULI, NIL, yaani JIWE linapata kura 48 na Binadam wa Kaliba yake anapata kura 28.

Kwa UDHALILI uliomfika, Ni imma arudi CCM au aachane na siasa kwa kuwa Hana cha kupoteza.
 
Kamati Kuu inaketi na kupitia fomu ya mgombea kisha inaridhika kuwa mgombea huyo ana sifa za kuwa kiongozi na kwahiyo inampitisha.

Baadae mgombea huyo pekee aliyejitokeza katika jimbo lake baada ya wanachama wengine kutogombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupungukiwa sifa au kumuunga mkono huyo mgombea.

Kamati kuu inarudisha jina kwa hao hao wanachama wasiozidi 80 jimboni eti wakampigie kura ya Ndiyo au Hapana.

Cha ajabu uchaguzi huo wa Ndiyo au Hapana anatumwa mjumbe "mnene" wa Kamati Kuu kwenda kuusimamia kana kwamba kuna shida fulani.

Huu sasa ndio USHAMBA!

Maendeleo hayana vyama


hahah!
Hivi mwenyekiti wa MACCM upigiwa kura za ndio na hapana pia ni ushamba?

Ulitaka msimamizi wa uchaguzi atoke MACCM au ?
 
Kamati Kuu inaketi na kupitia fomu ya mgombea kisha inaridhika kuwa mgombea huyo ana sifa za kuwa kiongozi na kwahiyo inampitisha.

Baadae mgombea huyo pekee aliyejitokeza katika jimbo lake baada ya wanachama wengine kutogombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupungukiwa sifa au kumuunga mkono huyo mgombea.

Kamati kuu inarudisha jina kwa hao hao wanachama wasiozidi 80 jimboni eti wakampigie kura ya Ndiyo au Hapana.

Cha ajabu uchaguzi huo wa Ndiyo au Hapana anatumwa mjumbe "mnene" wa Kamati Kuu kwenda kuusimamia kana kwamba kuna shida fulani.

Huu sasa ndio USHAMBA!

Maendeleo hayana vyama


Tukumbushane hivi Mwenyekiti wa CCM pale Dodoma alikuwa anagombea na nani vile?

Alipita bila kupingwa au alipigiwa kura za ndio au hapana?

Kama ndivyo hii MADA ni ipimwe hivyo.

Kwa nini unataka mwenzako afanye husichofanya?
 
Tukumbushane hivi Mwenyekiti wa CCM pale Dodoma alikuwa anagombea na nani vile?

Alipita bila kupingwa au alipigiwa kura za ndio au hapana?

Kama ndivyo hii MADA ni ipimwe hivyo.

Kwa nini unataka mwenzako afanye husichofanya?
Mwenyekiti wa CCM ni Rais...... Kwahiyo kura inayopigwa pale ni kuikubali Taasisi ya Rais iendelee na Uenyekiti au Isiendelee.

Inahitaji akili kubwa kulielewa hilo kwa sababu CCM ni Chama Dola!
 
Wewe ulitakaje kwa mfano,Msimamizi wa uchaguzi awe Jafo?
Peleka upopoma Lumumba.
 
Kamati Kuu inaketi na kupitia fomu ya mgombea kisha inaridhika kuwa mgombea huyo ana sifa za kuwa kiongozi na kwahiyo inampitisha.

Baadae mgombea huyo pekee aliyejitokeza katika jimbo lake baada ya wanachama wengine kutogombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupungukiwa sifa au kumuunga mkono huyo mgombea.

Kamati kuu inarudisha jina kwa hao hao wanachama wasiozidi 80 jimboni eti wakampigie kura ya Ndiyo au Hapana.

Cha ajabu uchaguzi huo wa Ndiyo au Hapana anatumwa mjumbe "mnene" wa Kamati Kuu kwenda kuusimamia kana kwamba kuna shida fulani.

Huu sasa ndio USHAMBA!

Maendeleo hayana vyama
Kamnunulie chai mgombea wako kama wapiga kura hawana imani naye...
Kwa wenye akili "hakunaga" KUPITA BILA KUPINGWA
 
Back
Top Bottom