Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
'NO RECOURSE TO PUBLIC FUNDS' ni sentensi fupi tu ambayo inaonekana kwenye visa yangu, na to be frank, sikujali sana kutafuta maana ya maneno hayo miaka mitano iliyopita waliponigongea.Hii sentensi inamaanisha siwezi ku claim benefit, tax credit wala housing assistance. Jamani huu si unyonyaji? Ukizingatia wageni kama mimi tunatwanga mzigo kila siku, tena masaa kibao na kuna mizungu haifanyi kazi kabisa, inaishi kwa kutegemea hizo benefits tu, some of them have never done any paid work in their lives. Ni kama wanakula jasho letu tu, tax tunazolipa makazini ndo walipwa wao, huu nauona kama ubaguzi pia. So so unfair.