TEZIJIKE 2
Senior Member
- Nov 18, 2019
- 171
- 961
Habari wakuu,
Nina kijana anahitaji kusoma masuala ya ufundi anapenda hasa masuala ya bomba yupo kanda ya ziwa na nikaona Chato ni karibu zaidi lakini mpaka sasa sijui utaratibu wa VETA hii uko vipi kupokea wanafunzi mwenye kujua tafadhari naomba msaada hasa watu mlio karibu na VETA hii ya Chato.
Nina kijana anahitaji kusoma masuala ya ufundi anapenda hasa masuala ya bomba yupo kanda ya ziwa na nikaona Chato ni karibu zaidi lakini mpaka sasa sijui utaratibu wa VETA hii uko vipi kupokea wanafunzi mwenye kujua tafadhari naomba msaada hasa watu mlio karibu na VETA hii ya Chato.