Utaratibu Upi Unafuatwa Kuuvunja Muungano?

Mkuu kwa kutumia IQ yako kubwa hebu tusaidie muungano mbao hauna mkataba wenye sifa za mkataba wa kisheria unavunjwa vipi? Maelezo mafupi tafadhali.

Mnauvunja kama mlivyoauanza. Mnaitana mnaambiana. Mnatayarisha madokezo,mnayapitisha bungeni na BLW, yanaridhiwa, mnawatangazia umma, kisha mnaitana, mnagawana ule udongo tuliochanganya, mnashikana mikono, mnaagana, kila mtu anashika njia yake na khamsini zake!.

Kinachofuatia ni kwa Tanganyika kulirudisha jina lake na kumuandikia Katibu Mkuu wa UN ili kukifuta kiti cha URT na kukirejesha kiti cha T vivyo hivyo kwa Zanzibar.

Baada ya hapo ni ama kuwapa uraia wa moja kwa moja Wazanzibari walioko bara ambao watapenda kuwa Watanganyika au kuwatimua wao na mali zao zinazohamishika kisha waombe rasmi wakubaliwe ndipo waje. Zanzibar nao wataamua hatima ya wabara walioko huko.

Mali zote za muungano zisizo hamishika zinakuwa ni mali ya nchi husika mahali zilipo!. Zanzibar itafaudu!, mjengo kama ule wa BOT Zanzibar ndio utakuwa mali yao!.

Sisi wengine wenye kupenda weupe na ule ubwete wa Zanzibar tutaathirika!, maana kwenda huko sasa itakuwa kuingia kwa viza na mpaka uwe na passport!. Du! Itakuwa shida!.
Happy New Year
Pasco
 
Mbona muungano ulivunjika zamani,isome katiba ya zanzbr toleo 2010
 
kwanza kwa muundo uliopendekezwa ni wazi muungano hautadumu kwani chini ya muundo tulionao kuna mambo mengi yalikuwa yakimezewa lakini baada ya kuwa na serikali tatu sidhani kama watanganyika watakubali kuwa wao wakatazwe kumiliki ardhi zanzibar wakati wenzao wanakuja huku na kujitwalia maeneo,gharama za muungano ni wazi tanganyika watakataa kubeba mzigo huo watataka kila nchi ichangie sawa kwa sawa jambo ambalo Zanzibar hawataweza maadamu tumeungana Wazanzibar watataka wawe na uwakilishi sawa kwenye bunge na nafasi nyingine za muungano sasa nini kitatokea iwapo muungano utavunyika mambo kama madeni au mikopo ya toka mashirika kama IMF itagawanywa kwa kuangalia mgawo wa pato la Taifa
Mwisho ingawa hakijawekwa kipengele cha kuvunja muungano lakini kuna mambo yatakayotokea kutakuwa hamna namna nyingine ila kuvunja muungano kama nchi moja ikishindwa kuchangia gharama za serikali lazima nchi nyingine itakataa lakini pia kuna za mashirika mbalimbali kama jumhiya ya afrika mashariki,au,sadc na hata umoja wa mataifa pia kila nchi itabidi zijitegemee kama mnakumbuka kuna kipindi Gadaf ilibidi alipie baadhi ya nchi za Afrika ambazo nyingi zilishindwa kulipia ada zake ,ada za mashirika kama sumatrakilamtu atajilipia
 
ipigwe vita tuu..atakayeshinda achukue kipande chote...na kukifanya chake bila muunganiko wa karatasi.Zenj igawanywe vitalu mtanzania mwenye uwezo wa kuendeleza apewe,asiye na uwezo apewe pori bara na nyumba.....10yrs biashara za akina Barubaru zinaisha.

Hawa jamaa wavivu sana ndio maana wana muda wa kuchagua hadi chakula wasichoweza nunua........wanasiasa wao wamewaprogramm vibaya hadi kuwaharibu kwa uongo na kuwapa rushwa ya chakula.


Hizo ndio aina ya kensa yenu, Wadandanyika? Sisi kule maradhi haya hatari tunayapiga vita sisi wenyewe hatukai kwenye vyombo vya habari na kuitaka serikali iondoe kensa hizo! Ni ushauri tu!​
 
Madeni mnamwachia nani kama kila mtu anaenda kwao? Na amini lazima kuwe na utaratibu.

Kwa hali ilivyo upande mmoja tu ndio utokuwa na madeni lakini nijuwavyo upande huo kwa kupenda unyangaji kitatumika kifungu cha utaifishaji!
 
Pasco unaniangusha kwenye kiswahili. umelitumiaje neno "dhima" mahala pa "dhana"

halafu unaandika maelezo mengi huku ukiujua ukweli kuwa IQ ya ndugu zako watanzania majority ni ndogo ku-condense hayo maelezo ili waipate point yako!!!!!

Ungewaambia pia kuwa sifa nyingine muhimu kabisa ya mkataba ni kuwa na kipengele kinachoruhusu kuu-review mkatba wenyewe (kuuhuisha).


Nilsema huko nyuma kuwa watu wa aina fulani wana matatizo ya kufikiri kama bold hapo juu.

Hata hivyo sisi tusio na akili tunajuwa kuwa kwenye makubaliano hayo kulikuwa na kipengele cha kuundwa chombo cha kureview huo muungano kila baada ya miaka 10.
 
Usisahau na kule tarime kuna inchugu na ingwe pia kule kanda za juu kusini niliwahi kusikia wakisema ni nisehemu ya nchi inayoongozwa na mwanamama
Muungano huu uvunjike si tu kwa Zanzibar bali hata na watu wa Kilimanjaro, Arusha na Tanga watengwe kwa kupewa madaraka kamili ya nchi yao ili wasiendelee kuwakera watawala wetu waliotukuka na ambao kila kukicha wanawabagua watu wa kaskazini! Nchemba, Nape na CCM yote fanyeni kweli kaskazini ijitenge...
 
Mbona tunambiwa mchele wa mbeya, viazi akukweti, nyanya, vitunguu nk, vina soko kubwa huko Znz.

Pia tungeendelea kujiuliza fedha zinapatikana wapi? Laiti Serikali ya Zanzibar ingeweka ushuru basi soko lingeyumba na wazalishaji wangebaki na mazao yao kwani bei ingekuwa kubwa.
 
Ni mmoja kati ya waliokatibiana kukataa kutekeleza mojawapo kati ya makubaliano yao ama kuyakataa makubaliano yao yoooote. hapo patano linakuwa halipo tena na mkataba unavunjika.

Hureeee, magnificent, you are so brilliant! JK angekuchaguwa Waziri Mkuu!
 
Hii poa kweli kwa hiyo mimi naona hii ya weza kuwa sababu ya msingi kuuvunja huu muungano hasa tukiangalia mzigo wa madeni tulio nao kama Tz.

Tuuvunje muungano tupate muda wa kutafakari kuwa tunauhitaji, wakati tumeuvunja madeni nayo yatakufa. Baadaye tukiona tuna uhitaji tunaungana tena kwa jina lingine na tunakopa upya.

Mkuu hakuna nchiinayoitwa Muungano bali kuna Tanzania ambayo hapo awali ikiitwa Tanganyika na ipo Zanzibar ambayo inalopeshwa kama Zanzibar. Hivyo kubadilisha jina la nchi hakuondowi deni.
 
Hizo ndio aina ya kensa yenu, Wadandanyika? Sisi kule maradhi haya hatari tunayapiga vita sisi wenyewe hatukai kwenye vyombo vya habari na kuitaka serikali iondoe kensa hizo! Ni ushauri tu!​

Siwezi kushangaaa km unaamini hivyo.KM PIA MNAAMINI KUWA MAENDELEO YA DUNIA YOTE YALIIBWA KUTOKA KTK AL-KITAB ,sasa itakuweje kwa hili kuwa nyie mna akili kuliko bara.

Sasa km hamjaweza hata kulima migomba hata ktk kiwango cha msingi kabisa ni vipi mnasema mmestaarabika kihivyo?

Wazenj mnaogelea ktk upuuzi sana ,hembu tembeeni kidogo muone msibaki danganywa kihivyo na hao jamaa wakishashindwa na kupigwa chini ndipo wanakuaj ktk mtego wa muungano.
 
Sikujua unazungumzia Tanzania.
Kwanza ieleweke, Muungano wenu ulivunjika siku Zanziba walipoiandika na kuihalalisha Katiba yao. Siku ile walipouzindua wimbo wa Taifa lao, siku ile walipoipandisha Bendera ya Taifa lao.
Tanganyika wakaachiwa jina kuubwa, Tanzania na bendera na wimbo wao. Tanganyika tukaachwa kwenye mataa. Jina kuubwa bila nchi.
Hakuna Muungano bila Zanziba. Siku moja Mh. Pinda akaulizwa swali bungeni; Je Zanziba ni nchi au?? Akagwaya mazima.
Hatuna Muungano hivyo ilitakiwa kabla ya kuandika katiba ya Muungano tuwaulize wananchi wa hizi nchi mbili, Mwataka muungane?? Kile kilichowafanya Nyerere na Karume wauwaze muungano, hivi kweli bado kipo??
Wanaoushabikia muungano wa Tz ni wale wanaoufaidi tuu yaani wanaokula matunda ya juu.

Mangatara muulize Pasco atakueleza kuwa huo Muungano ulisema kitu Zanzibar kibakie, ikjumuisha utaifa, bendera, wimbo wa taifa, Urais, Baraza la kutunga sheria(Baraza la Mapinduzi na baadae Baraza la Wawakilishi) na hata chama cha siasa(ASP). Hayo yote yalikuwepo hata wakati wa Karume na Nyerere,sasa iweje useme Zanzibar imevunja Muungano?
​Kumbuka muungano huu umejengwa kwa makubaliano sio kwa Katiba!
 
Ikipigwa vita mshindi atachukua nchi ingine na kuifanya mkoa.in fact wether anashinda zenj au tanaganyika..mwisho wa siku itakuwa nchi moja. Ni km mke kulipa mahari au mme kulipa mahari mwisho wa siku ni ndoa.
 
Siwezi kushangaaa km unaamini hivyo.KM PIA MNAAMINI KUWA MAENDELEO YA DUNIA YOTE YALIIBWA KUTOKA KTK AL-KITAB ,sasa itakuweje kwa hili kuwa nyie mna akili kuliko bara.

Sasa km hamjaweza hata kulima migomba hata ktk kiwango cha msingi kabisa ni vipi mnasema mmestaarabika kihivyo?

Wazenj mnaogelea ktk upuuzi sana ,hembu tembeeni kidogo muone msibaki danganywa kihivyo na hao jamaa wakishashindwa na kupigwa chini ndipo wanakuaj ktk mtego wa muungano.

Inaonyesha huna uwezo wa kushangaa kwa vile akili yako imeathirika na jambo fulani. Una maana huko kwenu Tanganyika hakuna Waislamu na kama wapo wanatumia Kitabu gani? Hujioni mpuuzi kuwa badala ya kutowa hoja unarukia mambo ya kipuuzi?
sasa tuseme huko kulima ndio maendeleo mbona mnakufa kwa njaa na hujasikia watu kufa kwa njaa Zanzibar. Umesahau historia kuwa Zanzibar wanao watu wa kuwalimia wanaotoka makwao kwenye neema na maendeleo? Acha upuuzi na towa hoja!
 
Sisi wengine wenye kupenda weupe na ule ubwete wa Zanzibar tutaathirika!, maana kwenda huko sasa itakuwa kuingia kwa viza na mpaka uwe na passport!. Du! Itakuwa shida!.
Happy New Year
Pasco
Ndo maana unagombana na vijana wa Madrasa. .wakija hapa na style yao ya kukupa ilmu.
Ahsanta
 
Ndo maana unagombana na vijana wa Madrasa. .wakija hapa na style yao ya kukupa ilmu.
Ahsanta
Hao ni wale vizalia, jamii zao zinaruhusu wao kwa wao, waliponidhania na mimi kuwa nimepitamo, ilikuwa shida, japo niliwahakikishia sijapita popote, wazimu uliisha wapanda, wakawa hawasikii la muadhini wala la mnadi swala, ni wao na mimi, nilipowauliza kama wanajua Wataliano wanawafanza nini dada zao, hawakujali kisa Wataliano weupe!. Kiukweli twende mbele turudi nyuma, muungano ukivunjika, wao ndio watakao athirika na kuadhirika!.
Happy New Year.
Pasco
 
kwanza kwa muundo uliopendekezwa ni wazi muungano hautadumu kwani chini ya muundo tulionao kuna mambo mengi yalikuwa yakimezewa lakini baada ya kuwa na serikali tatu sidhani kama watanganyika watakubali kuwa wao wakatazwe kumiliki ardhi zanzibar wakati wenzao wanakuja huku na kujitwalia maeneo
Hili limezingatiwa na rasimu na bado kuna kipengele ambacho kinasema panapo sababu maalum hili linawezekana kuendelea na Watanganyika wakalikubali. Chukulia mfano wa maeneo yanayotengwa kama hifadhi jee unafikiri wananchi hawataki kuishi maeneo hayo?


,gharama za muungano ni wazi tanganyika watakataa kubeba mzigo huo watataka kila nchi ichangie sawa kwa sawa jambo ambalo Zanzibar hawataweza

Naona unasahau kuwa nchi kama nchi lazima iwe na mambo ya kuyahudumia na hili si kwa Tanganyika pekee au Zanzibar na huduma hizo zikiwepo kwenye muungano basi kila mmoja atalipia kiasi anachotumia na wala usitegemee Zanzibar inayohitaji polisi wachache itowe gharama sawa na nchi inayohitaji mara 40 ya pilisi kuliko Zanzibar



maadamu tumeungana Wazanzibar watataka wawe na uwakilishi sawa kwenye bunge na nafasi nyingine za muungano sasa
Rasimu imeona hilo na uwakilishi utategemea utaratibu utakaokubalika



nini kitatokea iwapo muungano utavunyika mambo kama madeni au mikopo ya toka mashirika kama IMF itagawanywa kwa kuangalia mgawo wa pato la Taifa
Rasimu inapendekeza uhusiani wa kimataifa na mamlaka yatakuwa si mambo ya muungano na ikibidi serikali ya muungano kukopa basi tutapigiana hesabu kwa mujibu wa matumizi ya mkopo huo. Msingi wa kila kitu ni faida inayopatikana kwa idadi ya watumizi.



Mwisho ingawa hakijawekwa kipengele cha kuvunja muungano lakini kuna mambo yatakayotokea kutakuwa hamna namna nyingine ila kuvunja muungano kama nchi moja ikishindwa kuchangia gharama za serikali lazima nchi nyingine itakataa lakini pia kuna za mashirika mbalimbali kama jumhiya ya afrika mashariki,au,sadc na hata umoja wa mataifa pia kila nchi itabidi zijitegemee kama mnakumbuka kuna kipindi Gadaf ilibidi alipie baadhi ya nchi za Afrika ambazo nyingi zilishindwa kulipia ada zake ,ada za mashirika kama sumatrakilamtu atajilipia

​Mbona mambo yahusuyo nchi hubebwa na mamlaka ya nchi hivyo ilivyokuwa muungano wetu ni wa nchi mbili basi nchi, yaani Tanganyika na Zanzibar ndio zitakazobeba majukumu ya nchi zao.
 
kwanza kwa muundo uliopendekezwa ni wazi muungano hautadumu kwani chini ya muundo tulionao kuna mambo mengi yalikuwa yakimezewa lakini baada ya kuwa na serikali tatu sidhani kama watanganyika watakubali kuwa wao wakatazwe kumiliki ardhi zanzibar wakati wenzao wanakuja huku na kujitwalia maeneo
Hili limezingatiwa na rasimu na bado kuna kipengele ambacho kinasema panapo sababu maalum hili linawezekana kuendelea na Watanganyika wakalikubali. Chukulia mfano wa maeneo yanayotengwa kama hifadhi jee unafikiri wananchi hawataki kuishi maeneo hayo?


,gharama za muungano ni wazi tanganyika watakataa kubeba mzigo huo watataka kila nchi ichangie sawa kwa sawa jambo ambalo Zanzibar hawataweza

Naona unasahau kuwa nchi kama nchi lazima iwe na mambo ya kuyahudumia na hili si kwa Tanganyika pekee au Zanzibar na huduma hizo zikiwepo kwenye muungano basi kila mmoja atalipia kiasi anachotumia na wala usitegemee Zanzibar inayohitaji polisi wachache itowe gharama sawa na nchi inayohitaji mara 40 ya pilisi kuliko Zanzibar



maadamu tumeungana Wazanzibar watataka wawe na uwakilishi sawa kwenye bunge na nafasi nyingine za muungano sasa
Rasimu imeona hilo na uwakilishi utategemea utaratibu utakaokubalika



nini kitatokea iwapo muungano utavunyika mambo kama madeni au mikopo ya toka mashirika kama IMF itagawanywa kwa kuangalia mgawo wa pato la Taifa
Rasimu inapendekeza uhusiani wa kimataifa na mamlaka yatakuwa si mambo ya muungano na ikibidi serikali ya muungano kukopa basi tutapigiana hesabu kwa mujibu wa matumizi ya mkopo huo. Msingi wa kila kitu ni faida inayopatikana kwa idadi ya watumizi.



Mwisho ingawa hakijawekwa kipengele cha kuvunja muungano lakini kuna mambo yatakayotokea kutakuwa hamna namna nyingine ila kuvunja muungano kama nchi moja ikishindwa kuchangia gharama za serikali lazima nchi nyingine itakataa lakini pia kuna za mashirika mbalimbali kama jumhiya ya afrika mashariki,au,sadc na hata umoja wa mataifa pia kila nchi itabidi zijitegemee kama mnakumbuka kuna kipindi Gadaf ilibidi alipie baadhi ya nchi za Afrika ambazo nyingi zilishindwa kulipia ada zake ,ada za mashirika kama sumatrakilamtu atajilipia

Mbona mambo yahusuyo nchi hubebwa na mamlaka ya nchi hivyo ilivyokuwa muungano wetu ni wa nchi mbili basi nchi, yaani Tanganyika na Zanzibar ndio zitakazobeba majukumu ya nchi zao.
 
Inaonyesha huna uwezo wa kushangaa kwa vile akili yako imeathirika na jambo fulani. Una maana huko kwenu Tanganyika hakuna Waislamu na kama wapo wanatumia Kitabu gani? Hujioni mpuuzi kuwa badala ya kutowa hoja unarukia mambo ya kipuuzi?
sasa tuseme huko kulima ndio maendeleo mbona mnakufa kwa njaa na hujasikia watu kufa kwa njaa Zanzibar. Umesahau historia kuwa Zanzibar wanao watu wa kuwalimia wanaotoka makwao kwenye neema na maendeleo? Acha upuuzi na towa hoja!

Naona kiswahili pishana.Pia inasikitisha sana kuwa waislam wengi na wenye bahati ya kupata access ya mitandao km nyie hawajui wanachokitaka.Si mlikuwa mnalia Bakwata kuwa ni mamluki na mkaishia waletea watu shida.Sasa watu wanwasaidia kupiga kelele ili mpate mnachokitaka na kuacha wnegine wapumue ..mnaanza kiswahili ndefuu saana.Au mna nia nyingine?

BY the way ,wazenj wana shida kubwa sana kuliko unavyoweza fikiri....hakuna mbara atakwenda zenj apewe uhuru asiwatie hofu kwa maendeleo ya haraka.Zanz..ni deal Island bila wageni..,mtabaki logana ,na kufanyiana hujuma hadi mwisho wa upuuzi wa viongozi wenu...niliwahi sema viongozi wenu ni tatizo kubwa kuliko hata nyie..watu hawakunielewa sana...ila alipotoka Vuai watu wamemsikia mapema kabisa,hata njaa haijaaza mjia keshakuwa km Zitto.


Zenj ni Disaster..naipatia huruma kuliko unavyodhani kuwa nawashangaa....bado narudia...ujinga unaowaponza ni kudanganywa kuwa mpo juu sana, km wanavyowadanganya wasomi wenu kuwa sayansi ya kimangaribi iliibwa ktk maandiko ya Al Kitabu,sijui usafi wa kutumia vikopo ,michanga na mawe ni mkubwa sana kuliko wanaotumia maji mengi, au toilet paper.Nakupa Homework ...KAWAUIZE WENZIO HAYA:KM WATU WA MAGAHARIB WALIIBA MAFUNDISHO KTK AL_KITAB NA HAWAKUIBA AL KITAB KWANINI SASA WENYE MALI HADO LEO HAWAJAWEZA DECODE AL-KITAB NA KUFAIDIKA?KM WANAOKSOMA NA KUKIFUATA AL_KITAB WALIPASWA KUWA MABINGWA HALAFU ,WASIO TUMIA AL -KITAB WANAWEZA PATA MATERIAL KWA KUSOMA MUD AMFUPI TUU,NI WAZI WALIOKIMBIA AL_KITABU NDIO WANA REASON NZURI ZAIDI.NA HIYO NDIO SABABU WAKAACHANA NA AL-KITAB.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom