Kama upo kata ya Saranga kimara ambayo nadhani inaishia kwa msuguri, Kimara B yote kwasasa kunaupimaji shirikishi.
nenda manispaa Kinonondoni mipango miji kaangalie survey plan na upewe namba ulipie ili wakupimie bei zao ni 290,000 kwa sqm maixmum 300, 340,000 kwa sqm mpaka 400, 440,000 kwa sqm chini ya 1000, na 790,000 kwa sqm zaidi ya 1000 mpaka 1500.
Mimi nimefuatilia kama wiki mbili zilizopita wameanza november 2011. Namba na ramani pia zinapatikana Kimara amtangini serikali za mitaa ni mradi wa muda ukipita utpata usumbufu .
nenda manispaa Kinonondoni mipango miji kaangalie survey plan na upewe namba ulipie ili wakupimie bei zao ni 290,000 kwa sqm maixmum 300, 340,000 kwa sqm mpaka 400, 440,000 kwa sqm chini ya 1000, na 790,000 kwa sqm zaidi ya 1000 mpaka 1500.
Mimi nimefuatilia kama wiki mbili zilizopita wameanza november 2011. Namba na ramani pia zinapatikana Kimara amtangini serikali za mitaa ni mradi wa muda ukipita utpata usumbufu .