NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,842
Na ndio maana nikaona mapema nioe tu ndoa ya kimila kama kwenye biblia, ukilipia mahari unaondoka na mwenzako, imeisha hivyo !! ni ndpa inayotambulika na serikali kama ndoa za dini na cheti cha ndoa ya kimila mtakipata ofisi ya wilaya bila kero yoyote.
Utaratibu mzima wa kufungia ndoa kanisani ni uhuni tu, kanisa limepoka mamlaka ya wazazi. Ni wazazi na ndugu wa pande mbili pekee wanaoamua aidha kuwe na ndoa ama laaa.
Ndugu na wazazi wa upande mmoja wakikataa hata huko kanisani wachungaji hawawezi kulazimisha hio ndoa sababu wazazi / walezi na ndugu ndio wanaachia baraka kwa wanandoa na sio mchungaji au padre.
Pia kwenye kutengana kanisa linaingia vipi kuwa kama mshauri wakati jambo hilo linapaswa lihusishwe na wazazi na ndugu wa koo pande mbili?
wakifungishwa ndoa kanisani mahaba yao wanayahamishia kwenye dini husika. Hii ni mbinu kali sana ya kanisa kujipatia waumini wa kudumu.
Hakuna mahala popote kwenye biblia ambapo mchungaji alifungisha ndoa.
Utaratibu mzima wa kufungia ndoa kanisani ni uhuni tu, kanisa limepoka mamlaka ya wazazi. Ni wazazi na ndugu wa pande mbili pekee wanaoamua aidha kuwe na ndoa ama laaa.
Ndugu na wazazi wa upande mmoja wakikataa hata huko kanisani wachungaji hawawezi kulazimisha hio ndoa sababu wazazi / walezi na ndugu ndio wanaachia baraka kwa wanandoa na sio mchungaji au padre.
Pia kwenye kutengana kanisa linaingia vipi kuwa kama mshauri wakati jambo hilo linapaswa lihusishwe na wazazi na ndugu wa koo pande mbili?
wakifungishwa ndoa kanisani mahaba yao wanayahamishia kwenye dini husika. Hii ni mbinu kali sana ya kanisa kujipatia waumini wa kudumu.
Hakuna mahala popote kwenye biblia ambapo mchungaji alifungisha ndoa.