Utaratibu mpya kwa wanaotaka kujiunga na MASTER DEGREE UDSM

amba.nkya hata UD walikuwa wana pass mark za 50% katika baadhi ya kozi, kama enzi zile wakati Muhimbili ilikuwa tawi lao. Na mpaka sasa Muhimbili University pass mark zao ni 50%.

Afadhali umeliona hilo kuna baadhi ya vyuo hasa hivyo mnavyoviita vya kata ktk kozi zote kama hujapata above 50% unahesabika umefail,utalinganisha vp na UD ambao hawana kigezo hicho ambapo mtu akipata hata 48% anahesabika amefaulu. Tulikuwa na mabinti kibao hapo UD yaani yeye asome asisome lazima afaulu hiyo kozi,je kwa mtu kama huyu atamjuaje kwa kuangalia tu cheti chake na kumconsider kama amefaulu? Tunao vijana maofisin na ni product ya UD hawana kitu kabisa wanaburuzwa sana na hao vijana toka vyuo vingine hasa kwenye Research hapo ndo hamna kitu kabisa yaani inakuwa inabid tuwe tunawafunza kwanza ni balaa! mfano unakuta UD 78 ni A lakini kwa hivyo vyuo vingine mnavyoita vya kata ni B+,je utampa nani nafas ya Masters ikiwa hivyo na huyo wa UD GPA yake iko juu? Waajiri ndo wanaojua kipi ni Chuo bora,acheni propaganda za kushabikia UD ovyo ovyo UD ya sasa si kama ile ya zamani na kuna vyuo vinafanya vizuri sana hapa nchini kwa sasa!
 
dogo unapotosha umma, hio requirement sio kwa kozi zote ni baadhi tuu tena ni zile zilizoko kwenye, i) Department of Political Science and Public Administration: Offers three Master of Arts (M.A.) programmes; M.A. (Public Administration), M.A. (Political Science) and M.A. (Strategic and Peace Studies). Entrance Qualifications for M.A. Programme by Coursework and/or by thesis
(a) Holders of an honors degree from a recognized or accredited university or an equivalent from another approved University, or any institution of higher learning within and outside Tanzania, and recognized by Tanzania Commission for Universities (TCU).
(b) Graduates of UDSM must have a G.P.A. of 3.5 for male applicants, 3.3 for female. Applicants from upcoming universities must have a First Class honours degree.
(c) Applicants with a pass degree may be considered if they have Postgraduate Diploma in Political Science from a recognized institution of higher learning.

ila kozi zengine requirements ni Master of Arts in Education (M.A. Education) by Coursework and Dissertation
Regular Programme Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
Duration: 18 Months for full time programme.
iv) Master of Arts in Education (M.A. Education) by Coursework and Dissertation
Evening Programme Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
Duration: 24 months for evening programme.
v) Master of Arts in Applied Social Psychology (MAASP) by course work and Dissertation
Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
(ii) M.A. in Mass Communication
Entrance Requirements Applicants should be in possession of first degree with minimum of 2.7 GPA from recognised Universities in any discipline.
ukienda kwenye web yao utaona requirements nyingi sana, nyingine zinataka pass tuu


Haya ndio maelezo sahihi na kwale waliofuatilia admission za last year huko PSPA wataona huwa ikibidi wanashuka hadi GPA3.0 kwa waliosoma UDSM but this is a free country kwa wanaotaka Public Administration kuna Mzumbe and UDOM, kwa IR kuna UDOM hivvyo UDSM hawana monopoly.
 
Tatzo ud inawanyima usingizi,otherwise msingepoteza muda wenu kuijadili hapa jamvini.ud inalinganishwa na vyuo vyenye hadhi sawa na yake kama capetown,makerere,cairo na nairobi,sio kuilinganisha udsm yetu na hayo mavyuo yenu ya uchochoroni yanayo okoteza wanafunzi ovyo.najua wengi wenu mnaojifanya kukiponda chuo chetu cha taifa mlikua na ndoto za kukanyaga pale ila kutokana na uvilaza wenu mkajikuta mmeshndwa kupata marks zinazotakiwa na kuamua kwenda huko kwngne,kwa hyo mkiona thread kama hii,ndio mnaona mahali pa kumalizia hasira zenu,jilaumuni wenyewe kwa kuwa vilaza.
 
huwa nashangaa sana UD kujiona a very unique varsity, wakati varsity kama SUA ina "pass mark 50% and above" na ina fundisha science subjects, sifa za UD nini hasa? ulimbukeni unawasumbua
Wana mabweni marefu ya ghorofa!
 
Ukiona hapo wanabana nenda KIU hata ukiwa na GPA ya 2.0 unagonga masterz yako.
 
kwanza walimu wa UD hawafundishi kabisaa, wanafukuzana na miradi, consultancy na safari tu. kuna wengine bado wanafundisha shule za kukomoana. kuna Dr. mmoja pale anafundisho Corporate Finance yule jamaa??
 
UDSM ina peculiarity gani mpaka ichukuwe wenye GPA hiyo tu kutoka vyuo vingine???? Hata MIT haiko hivyo! Na kwanini waliosoma hapo ndo wawe favoured?



KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3

Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
 
Tatzo ud inawanyima usingizi,otherwise msingepoteza muda wenu kuijadili hapa jamvini.ud inalinganishwa na vyuo vyenye hadhi sawa na yake kama capetown,makerere,cairo na nairobi,sio kuilinganisha udsm yetu na hayo mavyuo yenu ya uchochoroni yanayo okoteza wanafunzi ovyo.najua wengi wenu mnaojifanya kukiponda chuo chetu cha taifa mlikua na ndoto za kukanyaga pale ila kutokana na uvilaza wenu mkajikuta mmeshndwa kupata marks zinazotakiwa na kuamua kwenda huko kwngne,kwa hyo mkiona thread kama hii,ndio mnaona mahali pa kumalizia hasira zenu,jilaumuni wenyewe kwa kuwa vilaza.

Kama wewe ni mtoto wa kiume pole sana 2. Kama ni maskini jaala yako mbovu na kama ni wa kijijini umeliwa udsm ni cha ngapi kwa ubora duniani? Wako wapi wasomi mahiri wanaochochea maendelea yetu? Nchi inaweza kuendelea kwa kujaza maprof wa sheria na kiswahili pekee? Wenzio wenye hela zao wako harvard na mbele huko kama ulishasoma umeondoka na ghorofa hapo? Shame on you cc Baba V
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ni requirements muafaka hizo. Kuna vilaza wengi wanatoka na first class kwenye vyuo vya ajabu ajabu na kuaminiwa kwenye kazi halafu inakuwa disaster. Nawafahamu wengi.
 
Mimi ni zao la UDSM ile ya migomo haswa.... GPA za chupi na kudisko kwa visa kwa baadhi ya watu; hii haishangazi

Ushauri tu, si lazima kusoma UDSM... na experience yangu ndogo ya kufanya kazi na watu wenye masters za UDSM, wengi wako kinadharia zaidi wakati maisha ya makazini yanataka applied knowledge

I would never take any person close to me to any postgraduate course ya UDSM kwa sasa hasa kama ni za management... tunakosa upeo fulani

Kaka asante kwa kutujuza halihalisi ya UDSM kwa level ya Master degree maana nilikuwa na mpango wa kufanya Master degree ya Education Management and Administration.
 
ni kweli kabisa,kuna baadhi ya vyuo hapa bongo,unanegotiate na lecturer akupe alama gani,na ukimaliza unafanya negotiation tena upewe gpa gani,sasa utalinganisha na udsm kweli?angalia tu matpkeo ya vyuo vingi especialyy vya private,utakuta m2 wa wa gpa ya chini kabisa ana 3.8 na ni course ya sayansi,sasa kweli hii inawezekana kwa mazingira ya kawaida?hatukatai kuna watu wanajituma sana na kustahili 1st class,hata udsm wapo wengi tu,ila tunachotilia shaka ni sifa ya mtihani kutokuwepo,maaana sifa moja ya mtihani/course work kwa ujumla ni discrimination,watu hawalingani hivyo hawawezi wote kuwa na marks za juu lazima wakufeli,wa kati na wa kufaulu sana wawepo!

2pe mfano wa chuo na mtu aliyeongea na lecturer wake kuwa apewe gpa ya ngapi na marks gani
 
ni kweli kabisa,kuna baadhi ya vyuo hapa bongo,unanegotiate na lecturer akupe alama gani,na ukimaliza unafanya negotiation tena upewe gpa gani,sasa utalinganisha na UDSM kweli?angalia tu matpkeo ya vyuo vingi especialyy vya private,utakuta m2 wa wa gpa ya chini kabisa ana 3.8 na ni course ya sayansi,sasa kweli hii inawezekana kwa mazingira ya kawaida?hatukatai kuna watu wanajituma sana na kustahili 1st class,hata udsm wapo wengi tu,ila tunachotilia shaka ni sifa ya mtihani kutokuwepo,maaana sifa moja ya mtihani/course work kwa ujumla ni discrimination,watu hawalingani hivyo hawawezi wote kuwa na marks za juu lazima wakufeli,wa kati na wa kufaulu sana wawepo!

2pe mfano kwa kutaja chuo na jina la aliyefanya makubaliano na lecturer wake apewe gpa gani.
 
Wasomi naona mnaonyeshana umwamba wenu wa kusoma. Haya mimi mtazamaji tu mkimaliza kubezana ntachangia japo kidogo kuhusu sababu za Watanzania kuwa masikini wakati nchi imejaliwa ardhi yenye rutuba na rasilimali kwa wingi kisha mnisaidie njia za kukabiliana na haya majanga (umasikini, maradhi na ujinga) kwa kutumia taaluma zenu kutoka elimu mliyonayo.
 
KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3

Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?

sOURCE?
 
Afadhali umeliona hilo kuna baadhi ya vyuo hasa hivyo mnavyoviita vya kata ktk kozi zote kama hujapata above 50% unahesabika umefail,utalinganisha vp na UD ambao hawana kigezo hicho ambapo mtu akipata hata 48% anahesabika amefaulu. Tulikuwa na mabinti kibao hapo UD yaani yeye asome asisome lazima afaulu hiyo kozi,je kwa mtu kama huyu atamjuaje kwa kuangalia tu cheti chake na kumconsider kama amefaulu? Tunao vijana maofisin na ni product ya UD hawana kitu kabisa wanaburuzwa sana na hao vijana toka vyuo vingine hasa kwenye Research hapo ndo hamna kitu kabisa yaani inakuwa inabid tuwe tunawafunza kwanza ni balaa! mfano unakuta UD 78 ni A lakini kwa hivyo vyuo vingine mnavyoita vya kata ni B+,je utampa nani nafas ya Masters ikiwa hivyo na huyo wa UD GPA yake iko juu? Waajiri ndo wanaojua kipi ni Chuo bora,acheni propaganda za kushabikia UD ovyo ovyo UD ya sasa si kama ile ya zamani na kuna vyuo vinafanya vizuri sana hapa nchini kwa sasa!

afadhali mkuu umesema tusiwe watumwa wa histor
 
Back
Top Bottom