KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3
Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
Kuna tetesi kwamba Mzumbe University wamekwisha andaa utaratibu utatoka mda si mrefu. Hakuna mtu yeyote atakaye jiunga kufanya Masters akitokea Udsm bila kufanya Postgraduate diploma. Hii yote inatokana na kutokuamini products za UDSM hata kama ni first Class
huwa nashangaa sana UD kujiona a very unique varsity, wakati varsity kama SUA ina "pass mark 50% and above" na ina fundisha science subjects, sifa za UD nini hasa? ulimbukeni unawasumbuaKWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3
Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
Tutasoma vyuo vingine kwanza Ud mimi sipapendi hata wanisomeshe bure sikubali.