CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Sheria ya utumishi wa Umma inasemaje kwa mtumishi ambaye anataka kustaafu kwa hiari kabla ya miaka ile 60 ya kisheria..
Mfano ana miaka 55. ila kwa sababu ya changamoto ya ugonjwa anaamua kustaafu kwa hiari..
Je anatakiwa kufata taratibu gani?
Katika kipindi ambacho anasubiri mafao ataendelea kupokea mshahara?
Nna ndugu Yangu ana hii changamoto wakuu na haoni tena kama ataendelea kufanya kazi kwa changamoto yake.
Mfano ana miaka 55. ila kwa sababu ya changamoto ya ugonjwa anaamua kustaafu kwa hiari..
Je anatakiwa kufata taratibu gani?
Katika kipindi ambacho anasubiri mafao ataendelea kupokea mshahara?
Nna ndugu Yangu ana hii changamoto wakuu na haoni tena kama ataendelea kufanya kazi kwa changamoto yake.