mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Hivi karibuni Watz tumekuwa na tabia ya kuiga mambo mengi sana kutoka kwa wazungu
Lakini kwa jambo hili hata wazungu wenyewe sijawahi kuwaona wakilifanya
Nadhani huu ni mtindo wetu mpya wa vijana wa kitanzania kusheherekea siku ya kuzaliwa
Lakini kwa jambo hili hata wazungu wenyewe sijawahi kuwaona wakilifanya
Nadhani huu ni mtindo wetu mpya wa vijana wa kitanzania kusheherekea siku ya kuzaliwa