TWALICIOUS
Member
- May 26, 2011
- 42
- 0
ni kweli education for liberation kama ilivyo motto wao...watanzania na wanafunzi wa shule zoote za sekondary Tanzania laiti tungekua na mkuu wa shule kama MWANYIGU wa shule hii basi kiwango cha elimu kingekua kwa kasi ya ajabu mkuu huyu ni mchapakazi.mpenda maendelleo...utaratibu wake ni kama vile kukuza kiwango cha taaluma,utunzaji wa mazingira.....bigup sana MR maliano Mwanyigu pale Mafinga Iringa......................