Utaratibu Huu Umepitwa na Wakati!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
normal_Jakaya_Kikwete_133.jpg
normal_Jakaya_Kikwete_132.jpg

normal_Jakaya_Kikwete_193%7E0.jpg

normal_singida_DSC04013.jpg



Hatuwezi kuja na utaratibu mwingine!!!?
 
Mzee Mwanakijiji said:
Hivi JK ana access ya nuclear bomb or something .....

Mwanakijiji, who do you mean? Are you loosing your mind?
 
najaribu kushangaa tu.. kwanini jamaa amfuate fuate namna hiyo na magwanda ya jeshi.. Hivi jamaa asiposimama karibu ya Kikwete kwenye hadhara yoyote.. Urais wa JK unapungua?
 
Mzee Mwanakijiji,

Hako ni kautaratibu/protokali ka urais. Muammar Gadaffi wa Libya ana platoon ya makomandoo wa kike.
 
Wazo binafsi; "Yeyote anayekubali ushauri mbaya ujue kwamba mawazo yake yalikuwa mabaya zaidi ya huo ushauri mbaya"
 
Back
Top Bottom