comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,220
- 5,943
Rais Magufuli kuzungumza na wafanyabiashara wadogo 1,000
Miezi mitano baada ya kukutana na wachimbaji wadogo wa madini, Rais John Magufuli anatarajia kuzungumza na takriban wafanyabiashara wadogo 1,000 Ijumaa ya wiki hii.
www.mwananchi.co.tz
Wachimbaji wa madini TAYARI
Wasanii na bongoflava TAYARI
Viongozi wa dini TAYARI
WASOMI- WAHADHIRI- BADO ila hawa wameteuliwa sana
WAKULIMA WADOGO WADOGO ZAMU LINI?