Utaratibu gani wanatumia Break down?

Dengue

JF-Expert Member
Dec 4, 2012
2,027
1,414
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza viwango vya gharama za wamiliki wa breakdown wanapangiwa na Sumatra au wanaweka wenyewe kiholela.

Inapotokea umepata ajali hawa jamaa huwa wanakutajia bei kubwa sana kwa ajili ya kuvuta gari yako. Na hufanya hivi kwa kukuona umeshachanganyikiwa huwezi patana tena.
 
Hakuna kitu hapo kwani wewe wamekutajia tsh ngapi hebu tueleze ili tujue na tulinganishe na bei za wengine.
Dealers wao nima trafic police
 
halafu wanalazimisha kuvuta hata kama hutaki. wanaudhi sana. zile break down asilimia kubwa zinamilikiwa na maaskari so dili kama hilo wanakula pasu. Mi walikuja na mikwa ya laki moja themanini lakini waliambulia arobaini tu. mia
 
Hakuna kitu hapo kwani wewe wamekutajia tsh ngapi hebu tueleze ili tujue na tulinganishe na bei za wengine.
Dealers wao nima trafic police


Rafiki yangu alipata ajali KIPAWA akaachajiwa Laki tatu hadi Biguruni kituon.
 
halafu wanalazimisha kuvuta hata kama hutaki. wanaudhi sana. zile break down asilimia kubwa zinamilikiwa na maaskari so dili kama hilo wanakula pasu. Mi walikuja na mikwa ya laki moja themanini lakini waliambulia arobaini tu. mia

Wapuuzi sana wale jamaa.
Kumbe kiburi wanakipata kutoka kwa hao trafiki.

Hapo hapo wanakuibia taa,redio na vitu vingine vya kwenye gari.
 
Nani alikwambia kwamba breakdown zinasajiliwa na SUMATRA? Au kwa vile unachuki binafsi na SUMATRA, basi kila linalokupata barabarani basi ni wao.
 
Ni kweli tunapaswa kujua huu mradi upo chini ya nani na gharama za kuvuta gari nani anapanga.Gharama zao zipo juu sana zinaongeza machugu ya ajali.
 
Nani alikwambia kwamba breakdown zinasajiliwa na SUMATRA? Au kwa vile unachuki binafsi na SUMATRA, basi kila linalokupata barabarani basi ni wao.


Ishu sio chuki na Sumatra ila wao ndio wanaohusika na kupanga hata mambo ya nauli na gharama nyengine za vyombo vya majini na nchi kavu kama haya mabreak down
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom