Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
Ikitokea upo mazingira ambayo upatikanaji wa choo ni mgumu, ukaamua kujisaidia kichakani
Ile umeondoka tu unageuka nyuma ukamuona mtu anazoa kinyesi chako na kukiweka kwenye karatasi kisha anaanza kuondoka nacho.
Je utarudi kumuuliza kwanini anafanya hivo?
Na tena ile unarudi ili umuulize akaanza kukimbia nacho kinyesi chako,
Je utamkimbiza?
Kama utamkimbiza ukafanikiwa kumkamata afu ukamuuliza kwanini amechukua mavi yako akakaa kimya bila kukukujibu
Je utamnyang'anya kinyesi chako?
Na wakati unataka kumnyang'anya nae akaamua kujihami dhidi yako
Je utapigania kinyesi chako?
Au utamuachia aondoke na kinyesi chako?
Ile umeondoka tu unageuka nyuma ukamuona mtu anazoa kinyesi chako na kukiweka kwenye karatasi kisha anaanza kuondoka nacho.
Je utarudi kumuuliza kwanini anafanya hivo?
Na tena ile unarudi ili umuulize akaanza kukimbia nacho kinyesi chako,
Je utamkimbiza?
Kama utamkimbiza ukafanikiwa kumkamata afu ukamuuliza kwanini amechukua mavi yako akakaa kimya bila kukukujibu
Je utamnyang'anya kinyesi chako?
Na wakati unataka kumnyang'anya nae akaamua kujihami dhidi yako
Je utapigania kinyesi chako?
Au utamuachia aondoke na kinyesi chako?